MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Januari 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Machi 4 hadi Aprili 7, 2019

“Usihangaike, kwa Maana Mimi Ni Mungu Wako”

Jifunze mambo matatu yanayoweza kutusaidia tuendelee kuwa watulivu hata tunapokabili majaribu.

Msifu Yehova Katika Kutaniko

Je, wewe huona kutoa maelezo mikutanoni kuwa jambo gumu? Makala hii itakusaidia kujua kwa nini huenda ukawa na woga wa kutoa maelezo na jinsi ya kushinda woga huo.

Unaweza Kulindaje Moyo Wako?

Shetani hujaribu kupotosha moyo wetu jinsi gani na tunaweza kuulindaje?

Mlo Usiohusisha Mengi Unatufundisha Nini Kuhusu Mfalme Wetu wa Mbinguni?

Mlo wa Ukumbusho hutufundisha nini kuhusu unyenyekevu, ujasiri, na upendo wa Yesu?

Uhudhuriaji Wetu wa Mikutano Unafunua Nini Kutuhusu?

Upendo, unyenyekevu, na ujasiri unahusianaje na uhudhuriaji wetu wa mikutano?

Mshiriki Mpya wa Baraza Linaloongoza

Jifunze kuhusu maisha ya Kenneth Cook, Jr.