MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 1, 2019

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 4 Mwezi wa 3 mupaka tarehe 7 Mwezi wa 4, 2019

“Usihangaike, kwa Maana Niko Mungu Wako”

Ujifunze sababu tatu zenye zinaweza kutusaidia tuendelee kuwa wenye kutulia hata wakati tunapambana na magumu.

Umusifu Yehova Katika Kutaniko

Unaona kuwa ni nguvu kutoa majibu ku mikutano? Habari hii inaweza kukusaidia kujua ni nini inakufanya uogope na kujikaza ili kumaliza woga huo.

Unaweza Kufanya Nini ili Kulinda Moyo Wako?

Shetani anafanya nini ili kujaribu kupotosha moyo wetu na tunaweza kufanya nini ili kuulinda?

Chakula cha Mangaribi cha Bwana Chenye Hakina Mambo Mingi, Kinatufundisha Nini Juu ya Mufalme wa Mbinguni

Chakula cha Ukumbusho kinatufundisha nini juu ya unyenyekevu, uhodari, na upendo wa Yesu?

Kuhuzuria Mikutano Kunaonyesha Nini Juu Yetu?

Namna gani sifa ya upendo, unyenyekevu, na uhodari, inatusaidia kuhuzuria mikutano ya kutaniko?

Ndugu Mupya wa Baraza Lenye Kuongoza

Ujifunze habari fulani juu Kenneth Cook.