MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2019

Toleo hili lina makala za funzo za Mei 6 hadi Juni 2, 2019

Ni Nini Kinachonizuia Kubatizwa?

Baadhi ya watu ambao wamejifunza kumhusu Yehova husita kubatizwa. Ni nini kinachoweza kuwasaidia washinde changamoto zozote zinazowazuia kuchukua hatua hiyo?

Sikiliza Sauti ya Yehova

Yehova anatumia njia zipi kuzungumza nasi leo? Tunanufaikaje kwa kumsikiliza Mungu?

Onyesha Kwamba Unajali Hisia za Wengine

Yehova na Yesu wameonyesha kwamba wanajali hisia za wengine katika njia zipi, na tunaweza kuwaigaje?

Onyesha Hisia-Mwenzi Katika Huduma

Njia nne hususa za kuwaonyesha wengine hisia-mwenzi ni zipi?

Wema​—Unaweza Kuusitawishaje?

Wema ni nini? Kwa nini tunapaswa kujitahidi kuusitawisha?

Yehova Anathamini Unaposema “Amina”

Watu wengi wana kawaida ya kusema ‘amina’ baada ya sala kutolewa. Tunaposema ‘amina’ tunaungana na wengine katika kumsifu Yehova. Neno hilo linamaanisha nini na limetumiwaje katika Biblia?