MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 3, 2019

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 6 Mwezi wa 5 mupaka tarehe 2 Mwezi wa 6, 2019

Sikiliza Sauti ya Yehova

Yehova anasema na sisi leo kupitia njia gani? Tunapata faida gani wakati tunamusikiliza Mungu?

Tuhangaikie Namna Wengine Wanajisikia

Ni katika njia gani Yehova na Yesu wanahangaikia namna wengine wanajisikia, na namna gani tunaweza kuiga mufano wao?

Ujitie pa Nafasi ya Wengine Katika Kazi Yako ya Kuhubiri

Tunaweza kufanya mambo gani fulani ili kujitia pa nafasi ya watu wenye tunahubiria?

Wema​—Unaweza Kufanya Nini ili Kukomalisha ile Sifa?

Wema ni nini? Juu ya nini tunapaswa kujikaza kukomalisha ile sifa?

Yehova Anaona “Amina” Yako Kuwa ya Maana

Watu wengi wanazoea kusema ‘amina’ ku mwisho wa sala. Neno hilo maana yake nini na namna gani linatumiwa mu Biblia?