MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Machi 2020

Toleo hili lina makala za funzo za Mei 4 hadi 31, 2020.

Upendo na Uthamini Wetu kwa Yehova Hutuchochea Kubatizwa

Kumpenda Yehova kunaweza kukuchochea ubatizwe. Lakini ni nini kinachoweza kukuzuia?

Je, Uko Tayari Kubatizwa?

Majibu yako kwa maswali yaliyo katika makala hii yatakusaidia kuamua ikiwa uko tayari.

SIMULIZI LA MAISHA

“Sisi Hapa! Tutume Sisi!”

Jack na Marie-Line wanaeleza kilichowachochea kuanza utumishi wa wakati wote na kilichowasaidia kukabiliana na hali tofauti-tofauti walipokuwa wakipata migawo mipya.

Ni Wakati Gani Unaofaa Kuongea?

Chunguza mifano ya Biblia itakayotusaidia kujua wakati wa kuongea na wakati wa kunyamaza.

Pendaneni Sana

Yesu alisema kwamba upendo ndiyo sifa inayowatambulisha Wakristo wa kweli. Upendo unatusaidiaje tuwe wafanya amani, tusiwe na ubaguzi, na tuwe wakaribishaji wageni?

Je, Wajua?

Kuna uthibitisho gani tofauti na Biblia unaoonyesha kwamba Waisraeli walikuwa watumwa huko Misri?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Polisi wa Kiyahudi wa hekaluni walikuwa nani? Walifanya kazi gani?