MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2020
Toleo hili lina makala za funzo za Februari 1-28, 2021.
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Je, maneno ya mtume Paulo yanayopatikana kwenye 1 Wakorintho 15:29 yanamaanisha kwamba baadhi ya Wakristo wa wakati huo walibatizwa kwa niaba ya wafu?
Maswali Kutoka kwa Wasomaji
Methali 24:16 inasema: “Mwadilifu anaweza kuanguka mara saba, lakini atainuka tena.” Je, andiko hilo linarejelea mtu ambaye anaanguka katika dhambi tena na tena, lakini anasamehewa na Mungu?