Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

AMKENI! Na. 1 2021 | Hekima ya Kukuongoza Uwe na Maisha Yenye Furaha

Sisi sote tunapenda kuwa na maisha ya furaha na yanayoridhisha. Chunguza jinsi unavyoweza kupata hekima itakayokusaidia kuwa na maisha hayo.

 

Hekima ya Kukuongoza Uwe na Maisha Yenye Furaha

Mungu Mweza-Yote anatoa hekima inayotusaidia kuwa na furaha sasa, na wakati ujao.

Hekima Inayotusaidia Kuwa na Maisha ya Familia Yenye Furaha

Waume, wake, wazazi, na watoto wanaweza kufanya nini ili wafurahie maisha ya familia?

Mwongozo wa Kutusaidia Kuwa na Uhusiano Mzuri na Wengine

Ni sifa gani zinazoweza kutusaidia kudumisha amani na wengine?

Jinsi ya Kuwa Wenye Furaha na Kuridhika

Ni mambo gani yanayoweza kufanya turidhike na kuwa na maisha yenye furaha?

Kwa Nini Tunateseka, Tunazeeka, na Kufa?

Chunguza sababu kuu nne za kuteseka, kuzeeka, na kufa.

Mafundisho ya Muumba Wetu Hutupatia Tumaini la Maisha Bora

Chunguza mambo machache kuhusu ahadi nzuri za Mungu zinazotupatia tumaini la wakati ujao.

Ujuzi Utakaotusaidia Kumkaribia Mungu

Biblia inafunua mambo gani kumhusu Mungu ambayo yatakusaidia kumjua na kumkaribia?

Unaweza Kuwa na Hekima

Unaweza kupata hekima kutoka kwa Mungu, naye anakualika unufaike nayo. Je, utakubali mwaliko wake?

Je, Ungependa Kujifunza Mengi Zaidi?

Ikiwa ndivyo, kuna video, vibonzo, mahojiano, na makala mbalimbali zinazoweza kukusaidia kufanya maamuzi mazuri na kuwa na furaha maishani.