MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2023

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 11, 2023–Januari 7, 2024.

1923​—⁠Miaka Mia Moja Iliyopita

Mwaka wa 1923 Wanafunzi wa Biblia walitiwa moyo sana kwa sababu kulianza kuwa na umoja zaidi katika ibada yao na kazi yao ya kuhubiri, umoja unaotambulisha ibada ya kweli leo.

MAKALA YA 42

Je, Uko “Tayari Kutii”?

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 11-17, 2023.

MAKALA YA 43

“Atawatia Nguvu”​—⁠Jinsi Gani?

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 18-24, 2023.

MAKALA YA 44

Chunguza kwa Undani Sehemu Zote za Neno la Mungu

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 25-31, 2023.

MAKALA YA 45

Thamini Pendeleo Lako la Kuabudu Katika Hekalu la Kiroho la Yehova

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 1-7, 2024.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Waisraeli walipokuwa nyikani, je, walikula chakula kingine mbali na mana na kware?