MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2023
Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 11, 2023–Januari 7, 2024.
MAKALA YA 43
“Atawatia Nguvu”—Jinsi Gani?
Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 18-24, 2023.
MAKALA YA 44
Chunguza kwa Undani Sehemu Zote za Neno la Mungu
Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 25-31, 2023.
MAKALA YA 45
Thamini Pendeleo Lako la Kuabudu Katika Hekalu la Kiroho la Yehova
Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 1-7, 2024.