MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Oktoba 2023

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 11, 2023–Januari 7, 2024.

MAKALA YA 42

Je, Uko “Tayari Kutii”?

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 11-17, 2023.

MAKALA YA 43

“Atawatia Nguvu”​—⁠Jinsi Gani?

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 18-24, 2023.

MAKALA YA 44

Chunguza kwa Undani Sehemu Zote za Neno la Mungu

Tutajifunza makala hii katika juma la Desemba 25-31, 2023.

MAKALA YA 45

Thamini Pendeleo Lako la Kuabudu Katika Hekalu la Kiroho la Yehova

Tutajifunza makala hii katika juma la Januari 1-7, 2024.