Kumbuka Kifo cha Yesu
Kila mwaka Mashahidi wa Yehova hukumbuka kifo cha Yesu kwa njia aliyoagiza. (Luka 22:19, 20) Tunakualika uhudhurie pamoja nasi tukio hili muhimu. Utajifunza jinsi unavyoweza kufaidika kutokana na maisha na kifo cha Yesu.
Kila mwaka Mashahidi wa Yehova hukumbuka kifo cha Yesu kwa njia aliyoagiza. (Luka 22:19, 20) Tunakualika uhudhurie pamoja nasi tukio hili muhimu. Utajifunza jinsi unavyoweza kufaidika kutokana na maisha na kifo cha Yesu.