Ninatoa Maisha Yangu Kwako
Uchukue ku Enternete:
1. Wakati ninaona,
nyota mingi usiku,
na yote ulishanifanyia
nakupenda sana.
2. Na utaniongoza,
nikijitoa kwako.
Na kila siku nitakutii
maisha yangu yote.
(KORASI)
Ulinipatia
tumaini;
nitavumilia.
Ulitoa Yesu,
niokoke.
Sasa najitoa
nikutumikie.
3. Na jua ikiwaka,
nasikia muzuri,
na uko unanitegemeza
Baba nakushukuru.
(CHORUS)
Ulinipatia
tumaini;
nitavumilia.
Ulitoa Yesu,
niokoke.
Sasa najitoa
nikutumikie.
(KORASI)
Ulinipatia
tumaini;
nitavumilia.
Ulitoa Yesu,
niokoke.
Sasa najitoa
nikutumikie.