Tumia Kanuni za Biblia
Neno la Mungu linatusaidia kufikiri na kutenda kwa kutumia kanuni. Fikiria mifano kadhaa inayoonyesha kina cha hekima ya Biblia.
Kupata Marafiki Mahali Ambako Hukutazamia
Ni kawaida kutamani kuwa na marafiki. Kwa hiyo, ni kanuni gani za Biblia zinazoweza kukusaidia kufanya maamuzi mazuri unapotafuta marafiki wanaofaa?
Yehova Mungu Atakusaidia
Si lazima uwe mkamilifu ili umtumikie Mungu. Yeye anataka ufanikiwe, naye atakutegemeza na kukusaidia.
Uwe na Hekima kwa Kusikiliza Mashauri
Kazia fikiria shauri, si mtu anayekushauri. Maneno yenye hekima kutoka kwa wazee Wakristo ni uthibitisho wa kwamba Yehova anatupenda.