Tumia Kanuni za Biblia

Neno la Mungu linatusaidia kufikiri na kutenda kwa kutumia kanuni. Fikiria mifano kadhaa inayoonyesha kina cha hekima ya Biblia.

Kupata Marafiki Mahali Ambako Hukutazamia

Ni kawaida kutamani kuwa na marafiki. Kwa hiyo, ni kanuni gani za Biblia zinazoweza kukusaidia kufanya maamuzi mazuri unapotafuta marafiki wanaofaa?

Yehova Mungu Atakusaidia

Si lazima uwe mkamilifu ili umtumikie Mungu. Yeye anataka ufanikiwe, naye atakutegemeza na kukusaidia.

Uwe na Hekima kwa Kusikiliza Mashauri

Kazia fikiria shauri, si mtu anayekushauri. Maneno yenye hekima kutoka kwa wazee Wakristo ni uthibitisho wa kwamba Yehova anatupenda.