Hamia kwenye habari

“Uwe Jasiri na Imara na Uanze Kazi”!

Tunahitaji kumtegemea Yehova tunapokabili hali ngumu. Ona jinsi Daudi alivyoonyesha kwa matendo kwamba alimtegemea Yehova.

Simulizi hili linategemea 1 Mambo ya Nyakati 28:1-20; 1 Samweli 16:1-23; 17:1-51

 

Huenda Ukapenda Pia

MNARA WA MLINZI

“Vita Ni vya Yehova”

Ni nini kilichomwezesha Daudi kumshinda Goliathi? Tunaweza kujifunza nini kutoka na simulizi la Daudi?