“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu”

Kitabu hiki kitakusaidia kuendelea kutumia kanuni za Biblia maishani mwako na hivyo kujitunza mwenyewe katika upendo wa Mungu.

Barua kutoka Baraza Linaloongoza

Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova linawahimiza wote wanaompenda Yehova wamwige Yesu, ambaye alikaa katika upendo wa Baba yake.

SURA YA 1

“Kumpenda Mungu Humaanisha Hivi”

Kwa sentensi rahisi, Biblia inaeleza jinsi unavyoweza kuonyesha kwamba unampenda Mungu.

SURA YA 2

Kuendelea Kuwa na Dhamiri Njema

Je inawezekana kuwa na dhamiri iliyo sawa lakini isiyo safi machoni pa Mungu?

SURA YA 3

Wapende Wale Ambao Mungu Anawapenda

Yehova huchagua marafiki wazuri, nasi twapaswa kumwiga.

SURA YA 4

Kwa Nini Tuheshimu Mamlaka?

Maandiko yanaonyesha maeneo matatu muhimu maishani ambayo Yehova anataka tuheshimu mamlaka ya wengine.

SURA YA 5

Jinsi ya Kuendelea Kujitenga na Ulimwengu

Neno la Mungu linaonyesha njia tano ambazo ni lazima tujitenge na ulimwengu.

SURA YA 6

Jinsi ya Kuchagua Burudani Inayofaa

Maswali matatu yanayoweza kukusaidia kuchagua kwa hekima.

SURA YA 7

Je, Unathamini Uhai Kama Vile Mungu Anavyouthamini?

Je, kuna kingine kinahusika mbali na kuchukua tu uhai wa mtu mwingine?

SURA YA 8

Mungu Anawapenda Watu Walio Safi

Biblia inaweza kukusaidia kuepuka mazoea yatakayokufanya usiwe safi machoni pa Yehova.

SURA YA 9

“Ukimbieni Uasherati”

Kila mwaka, maelfu ya wakristo hutumbukia kwenye uasherati. Unaweza kuepukaje kunaswa na mtego huu?

SURA YA 10

Ndoa—Zawadi Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo

Unaweza kujitayarishaje ili uwe na ndoa yenye mafanikio? Kama tayari umeoa au kuolewa, unaweza kufanya nini ili ndoa yako idumu?

SURA YA 11

“Ndoa na Iheshimiwe””

Maswali sita ya kujichunguza yanayoweza kukusaidia kuboresha ndoa yako.

SURA YA 12

Sema Lililo “Jema kwa Ajili ya Kujenga”

Usemi unaweza kuwaumiza au kuwajenga wengine. Jifunze kutumia zawadi ya usemi kama Yehova alivyokusudia.

SURA YA 13

Sherehe Ambazo Zinamchukiza Mungu

Baadhi ya sherehe na sikukuu huonekana utafikiri zinamheshimu Mungu kumbe kwa kweli zinamshushia heshima.

SURA YA 14

Uwe Mnyoofu Katika Mambo Yote

Kabla ya kuwa na mnyoofu kwa wengine, kuna hatua unayopaswa kuchukua kwanza.

SURA YA 15

Ona Mema kwa Ajili ya Kazi Yako Ngumu

Majibu ya maswali muhimu matano yatakayokusaidia ukubali au ukatae kazi hususa.

SURA YA 16

Mpinge Ibilisi na Hila Zake

Tunatambua nguvu za Shetani zilivyo nyingi, hata hivyo tunaepuka kuwa chini ya uvutano huo. Kwanini?

SURA YA 17

“Kujijenga Wenyewe juu ya Imani Yenu Iliyo Takatifu Zaidi”

Hatua tatu zinazoweza kukusaidia kuimarisha imani yako ili ubaki katika upendo wa Mungu.

NYONGEZA

Jinsi ya Kushughulika na Mtu Aliyetengwa na Ushirika

Je, ni muhimu kweli kuepuka mawasiliano yote na watu hao?

NYONGEZA

Kufunika Kichwa—Wakati Gani na kwa Nini?

Biblia inatoa sababu tatu zinazoweza kukusaidia kujibu.

NYONGEZA

Kusalimu Bendera, Kupiga Kura, na Utumishi wa Kiraia

Ni miongozo gani ya Biblia inayoweza kukusaidia uwe na dhamiri safi kuhusu mambo haya?

NYONGEZA

Visehemu vya Damu na Mbinu Zinazotumiwa na Madaktari

Kwa kuchukua hatua chache rahisi, unaweza kufanikiwa kukabiliana na changamoto za matibabu.

NYONGEZA

Shinda Zoea la Kupiga Punyeto

Ninaweza kushindaje zoea au tabia hii chafu?

NYONGEZA

Maoni ya Biblia Kuhusu Talaka na Kutengana

Kwa maoni ya Biblia, ni wakati gani aliyetalikiwa anakuwa huru kuoa au kuolewa tena?

NYONGEZA

Kutatua Mizozo ya Kibiashara

Je, mkristo anaweza kumshitaki mahakamani mwamini mwenzake?