2014 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova

Soma mambo makuu kutoka nchi za Sierra Leone na Guinea, pia furahia mambo yaliyoonwa yenye kutia moyo kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu.

Andiko la Mwaka 2014

Andiko letu la mwaka 2014 ni “Ufalme Wako na Uje.”—Mathayo 6:10

Barua Kutoka kwa Baraza Linaloongoza

Utatiwa moyo kwa kusoma barua hii yenye kuchochea na kujenga kiroho kutoka kwa Baraza Linaloongoza.

Tengenezo Lililo Mwendoni

JMwongozo wa Yehova unaonekana wazi katika mradi wa kuhamisha makao makuu kutoka New York City.

JW.ORG—“Ushahidi kwa Mataifa Yote”

Tovuti yetu inasaidia kusambaza habari njema ya Ufalme wa Mungu kwa “mataifa yote.”

Wanaithamini Maktaba ya Watchtower Kwenye Mtandao

Watumiaji wa kifaa hiki bora cha kufanyia utafiti hutuma barua za shukrani.

Video za Vibonzo Zagusa Mioyo Minyofu

Ona vile zinavyowasaidia watoto na familia ulimwenguni pote.

Kutembelea Maonyesho ya Historia ya Mashahidi wa Yehova

Soma maelezo mafupi yenye kuvutia kuhusu maonyesho mapya ya historia ya Mashahidi wa Yehova na mfuatano wa matukio ya Ukristo.

Ripoti ya Mambo ya Kisheria

Ripoti hizi za kisheria kutoka nchi 12 zinaonyesha kwamba bado Mashahidi wa Yehova wanakabiliana na masuala mengi yanayohusiana na uhuru wa kuabudu.

Habari Fupi Kutoka Sehemu Mbalimbali Ulimwenguni

Mashahidi wa Yehova wanajitahidi kujenga mahali penye kuheshimika pa ibada na kuhudhuria mikutano mahali hapo.

Kuwekwa Wakfu kwa Ofisi za Tawi

Furahia kusoma kuhusu ya mambo makuu ya matukio hayo ya kimataifa yenye shangwe

Afrika

Barani Afrika, watu wanasikiliza kweli za Biblia, na kweli hizo zinabadili maisha yao. Soma kuhusu mtu aliyekuwa mlevi na alivuta sigara 60 kwa siku.

Amerika

Mambo yaliyoonwa yafuatayo yanaonyesha kwamba kuwasaidia watu kwa njia hususa, na kuwaambia kweli zinazopatikana katika Biblia licha ya upinzani kunaweza kuwa na matokeo mazuri.

Asia na Mashariki ya Kati

Kujitahidi bila kuacha katika kazi ya kuhubiri huthawabisha. Soma kuhusu jitihada zilizofanywa ili kumsaidia mwanaume ambaye ni kipofu, kiziwi, na bubu kuelewa kwamba Mungu anamjali.

Ulaya

Chuki inaweza kusababishwa na habari zisizo za kweli. Soma jinsi kipindi cha redio kilivyomsaidia mtu aache kuwachukia Mashahidi wa Yehova.

Oceania

Burua ni njia mojawapo inayotumiwa kueneza kweli za Biblia jijini Christchurch, New Zealand. Kwa nini watu wengine wanaziita barua hizo “Barua Kutoka kwa Mungu?”

Maelezo Mafupi Kuhusu Sierra Leone na Guinea

Soma habari kuhusu nchi hizi, watu, dini, na lugha.

1915-1947 Siku za Mapema (Sehemu ya 1)

Mwaka 1915, mtumishi wa kwanza wa Yehova aliyebatizwa aliwasili jijini Freetown. Watu wengi walipendezwa na ujumbe wa Biblia.

1915-1947 Siku za Mapema (Sehemu ya 2)

Viongozi wa dini walipanga njama ya kuwanyamazisha watu wa Mungu, hata hivyo, Yehova ‘aliyageuza madhara yao yarudi juu yao.’

1915-1947 Siku za Mapema (Sehemu ya 3)

Kutaniko la Freetown likaanza ‘kushughulika sana na lile neno.’

“Utakufa Kabla ya Mwaka Huu Kwisha”

Zachaeus Martyn alitembea mara mbili kwa juma umbali wa kilometa nane, akipanda na kushuka mlima, ili ahudhurie mikutano ya Mashahidi wa Yehova. Ni nini kilichomthibishia kwamba alikuwa ameipata kweli ya Biblia?

Walimwita “Bible” Brown

William R. Brown alihubiri katika visiwa vingi vya Karibea na Afrika Magharibi. Soma habari hii uone ni kwa nini alihisi kwamba alikuwa amepewa mojawapo ya mapendeleo makubwa sana ambayo mwanadamu anaweza kupewa.

1945-1990 ‘Kuwaleta Wengi Kwenye Uadilifu’—Dan.12:3. (Sehemu ya 1)

Kazi ya kuhubiri ingefanywa kwa kiasi kikubwa. Wamishonari walitumwa ili wakachochee ukuzi.

Walitamani Kuiona

Mwaka 1956, sinema ‘The New World Society in Action’ ilionyeshwa jijini Freetown, Sierra Leone. Je, mtu yeyote angekuja kuiona?

1945-1990 ‘Kuwaleta Wengi Kwenye Uadilifu’—Dan.12:3. (Sehemu ya 2)

Mashahidi wa Yehova wanajulikana sana nchini Sierra Leone kuwa watu wanaoheshimu ndoa.

1945-1990 ‘Kuwaleta Wengi Kwenye Uadilifu’—Dan.12:3. (Sehemu ya 3)

Kwa nini wanasiasa wa kikundi cha Poro waliwasilisha mswada Bungeni ili kupiga marufuku kazi ya Mashahidi wa Yehova?

Vikundi vya Siri

Vikundi vya siri vimeathirije maisha ya wanaume na wanawake katika nchi za Afrika Magharibi?

1945-1990 ‘Kuwaleta Wengi Kwenye Uadilifu’—Dan.12:3. (Sehemu ya 4)

Makutaniko yaliendesha madarasa ya kuwafundisha watu kusoma kuandika ili kuwasaidia watu wakue kiroho. Kadiri watu walivyojua kusoma, ndivyo uhitaji wa kutafsiri ulivyoongezeka.

Beji Zilikuwa “Pasipoti” Zao

Wajumbe wa kusanyiko waliwezaje kuvuka mpaka na kuingia nchini Guinea ili wakahudhurie kusanyiko la wilaya ijapokuwa hawakuwa na hati za kusafiria, au pasipoti?

Yehova Amenisaidia

Jay Campbell, aliyeugua polio, alitaka kuhudhuria funzo la Biblia la kutaniko. Alisema kwamba angefika kwenye nyumba hiyo kwa kutumia vibao vyake alivyotumia kujikokota. Je, alifanikiwa?

1991-2001 ‘Tanuru ya Mateso’—Isa.48:10 (Sehemu ya 1)

Licha ya vita, Mashahidi wa Yehova walitoa msaada wa kimwili na wa kiroho kwa Mashahidi wenzao na watu wengine pia. Ni nini kilichowasaidia waonyeshe ujisiri na kubaki imara?

1991-2001 ‘Tanuru ya Mateso’—Isa.48:10 (Sehemu ya 2)

Vita vilipokuwa vikiendelea, Mashahidi wa Yehova “waliendelea kufundisha na kutangaza habari njema.”

Aliyekuwa Mwanajeshi Mtoto Awa Painia wa Kawaida

Mshiriki wa kikundi cha waasi alikumbuka jinsi alivyokaribishwa kwa uchangamfu alipohudhuria mkutano wa Mashahidi waYehova. Ni nini kilichomchochea afanye mabadiliko maishani?

Tuliwakimbia Wanajeshi Waasi

Kulikuwa na mauaji na machafuko katika mji wa Pendembu, kwa nini baadhi ya Mashahidi hawakuuawa vita vilipozuka mwaka 1991?

Mtu wa Mnara wa Mlinzi

Shahidi wa Yehova mmoja alikuwa mjumbe wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Aliwezaje kubeba barua na baadhi ya vitu kutoka jijini Freetown hadi Conakry, nchini Guinea?

Kitu Bora Zaidi Kuliko Almasi

Tamba Josiah alifanya kazi katika migodi ya almasi kabla ya kuwa Shahidi wa Yehova. Kwa nini alihisi kwamba alipata kitu bora zaidi kuliko almasi?

Mwaka 2002-2013 Ongezeko la Karibuni (Sehemu ya 1)

Baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, makutaniko yalianzishwa, na mapainia wa pekee walitumwa kwenye maeneo ambayo yalikuwa na Mashahidi wachache.

2002-2013 Ongezeko la Karibuni (Sehemu ya 2)

Leo, Mashahidi wa Yehova katika nchi hizo mbili wanaamini kwamba bado kuna watu wengi zaidi ambao watakubali habari njema za Ufalme.

Nimeazimia Kumtumikia Yehova

Phillip Tengbeh na mke wake walikimbia ili kuokoa maisha yao wakati wanajeshi waasi walipouvamia mji walioishi, Koindu. Walipokuwa wakiishi katika kambi hizo, walisaidia kujenga Majumba matano ya Ufalme.

Ninaipenda Sana Nchi ya Sierra Leone

Cindy McIntire ametumikia akiwa mmishonari barani Afrika tangu mwaka 1992. Anaeleza sababu inayomfanya afurahie kuhubiri hasa nchini Sierra Leone.

Miaka Mia Moja Iliyopita—1914

1914, mwaka ambao Wanafunzi wa Biblia walikuwa wakiutangaza ulikuwa umefika.