Wafundishe Watoto Wako

wazazi, tumia hadithi hizi za Biblia kuwafundisha watoto wako masomo muhimu ya Biblia.

Utangulizi

Maneno yaliyo katika kitabu cha Kumbukumbu la Torarati yanaweza kukuongoza unapowalea watoto wako.

SOMO 1

Siri Ambayo Tunafurahi Kuijua

Biblia inasema kuhusu siri ya pekee inayoitwa “siri takatifu.” Je, ungependa kujifunza mambo fulani kuhusu siri hiyo?

SOMO 2

Rebeka Alitaka Kumfurahisha Yehova

Tunaweza kufanya nini ili tuwe kama Rebeka? Soma simulizi hilo, na ujifunze mengi kuhusu Rebeka

SOMO 3

Rahabu Alimwamini Yehova

Ona jinsi Rahabu na familia yake walivyookolewa wakati jiji la Yeriko lilipoharibiwa.

SOMO 4

Alimfurahisha Baba Yake na Yehova Pia

Ni ahadi gani ambayo binti ya Yeftha alitimiza? Tunaweza kumwiga jinsi gani?

SOMO 5

Samweli Aliendelea Kufanya Mambo Mazuri

Unawezaje kuiga mfano wa Samweli wa kuendelea kufanya mambo mazuri hata wakati watu wengine wanafanya mambo mabaya?

SOMO 6

Daudi Hakuogopa

Soma hadithi hii yenye kusisimua sana ili ujue chanzo cha ujasiri mwingi sana wa Daudi.

SOMO 7

Je, Wakati Fulani Unajihisi Mpweke na Kuogopa?

Yehova alimwambia nini Eliya alipokuwa akijihisi upweke? Tunaweza kujifunza nini kutokana na kile kilichotokea kwa Eliya?

SOMO 8

Yosia Alikuwa na Marafiki Wazuri

Biblia inatuambia kuhusu mvulana aliyeitwa Yosia, inasema kwamba ilikuwa vigumu sana kwake kufanya mambo mazuri. Soma habari hii uone jinsi ambavyo rafiki zake walimsaidia kufanya mambo mazuri.

SOMO 9

Yeremia Hakuacha Kuongea na Watu Kuhusu Yehova

Kwa nini Yeremia aliendelea kuongea na watu kuhusu Mungu, licha ya kuchekwa na kukasirikiwa?

SOMO 10

Yesu Alikuwa Mtiifu Siku Zote

Si rahisi kuwatii wazazi siku zote. Soma habari hii uone jinsi mfano wa Yesu unavyoweza kukusaidia.

SOMO 11

Waliandika Habari Zinazomhusu Yesu

Soma habari hii inayowahusu waandishi nane wa Biblia walioishi wakati uleule ambao Yesu alikuwa duniani, na kisha wakaandika kuhusu maisha yake.

SOMO 12

Mpwa wa Paulo Alikuwa Jasiri

Kijana huyo aliokoa maisha ya mjomba wake. Alifanya nini?

SOMO 13

Timotheo Alitaka Kuwasaidia Watu

Unapaswa kufanya nini ili uwe na maisha mazuri yenye furaha kama Timotheo?

SOMO 14

Ufalme Ambao Utatawala Dunia Nzima

Maisha yatakuwaje Yesu atakapotawala dunia? Je, ungependa kutawaliwa na Yesu?