Biblia Inafundisha Kabisa Nini?

Kitabu hiki kiliandikwa ili kukusaidia ujifunze Biblia na kujua yale Biblia inasema juu ya habari mbalimbali, habari kama vile sababu gani watu wanateseka, wakati mutu anakufa ..., na mutu anaweza kufanya nini ili maisha ya familia yake ikuwe yenye furaha, na habari zingine.

Je, Mungu Alipenda Maisha Yawe Hivi?

Pengine unajiuliza sababu gani kuna magumu mengi leo. Ulijua kama Biblia inasema kwamba karibuni kutakuwa na mabadiliko kabisa na kwamba unaweza kufaidika na mabadiliko hayo?

SURA YA 1

Biblia Inafundisha Nini juu ya Mungu?

Unawaza kama Mungu anakuhangaikia? Ujifunze sifa zake na namna gani unaweza kumukaribia.

SURA YA 2

Biblia Ni Kitabu Kilichotoka kwa Mungu

Namna gani Biblia inaweza kukusaidia ujue namna ya kupambana na magumu yako? Sababu gani unaweza kuaminia unabii mbalimbali ulio katika Biblia?

SURA YA 3

Mungu Ana Kusudi Gani juu ya Dunia?

Je, kusudi la Mungu la kufanya dunia kuwa paradiso litatimia kabisa? Ikiwa litatimia, litatimia wakati gani?

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani?

Jifunze sababu gani Yesu ndiye Masiya aliyeahidiwa, alitoka wapi, na sababu gani yeye ndiye Mwana muzaliwa-pekee wa Yehova.

SURA YA 5

Zabihu ya Ukombozi Ndiyo Zawadi ya Mungu Iliyo Nzuri Kuliko Zote

Zabihu ya ukombozi ni nini? Namna gani unaweza kupata faida kupitia zabihu hiyo?

SURA YA 6

Watu Waliokufa Wako Wapi?

Jifunze Biblia ili kujua watu waliokufa wako wapi na sababu gani wanadamu wanakufa.

SURA YA 7

Tumaini la Kweli juu ya Watu Tuliowapenda Waliokufa

Umekwisha kufiwa na mutu fulani mwenye ulipenda? Inawezekana kumuona tena? Jifunze mambo yenye Biblia inafundisha kuhusu ufufuo.

SURA YA 8

Ufalme wa Mungu Ni Nini?

Watu wengi wanajua Sala ya Bwana. Maneno “Ufalme wako na Uje” yanamaanisha nini?

SURA YA 9

Tunaishi Kweli Katika “Siku za Mwisho”?

Chunguza namna matendo na hali ya watu wenye kutuzunguka yanahakikisha kwamba sasa tunaishi katika “siku za mwisho” kama vile Biblia ilitabiri.

SURA YA 10

Viumbe vya Kiroho—Ni Marafiki ao Maadui Wetu?

Biblia inasema kuhusu malaika na mashetani. Kweli viumbe hivyo viko? Namna gani vinaweza kuwa marafiki ao maadui wetu?

SURA YA 11

Sababu Gani Mungu Anawaacha Watu Wateseke?

Watu wengi wanawaza kama Mungu ndiye wa kulaumiwa kwa sababu ya mateso yote yanayopatikana duniani. Wewe unawaza nini? Jifunze mambo yenye Mungu anasema kuhusu sababu gani watu wanateseka.

SURA YA 12

Mwenendo Unaomupendeza Mungu

Inawezekana kuwa na mwenendo unaomupendeza Yehova. Kweli, unaweza kuwa rafiki yake.

SURA YA 13

Mawazo ya Mungu juu ya Uzima

Mungu ana mawazo gani juu ya kutoa mimba, kuingizwa damu katika mwili kwa njia ya mishipa, na ana mawazo gani juu ya uzima munyama?

SURA YA 14

Yale Unayopaswa Kufanya ili Familia Yako Iwe Yenye Furaha

Bwana, bibi, wazazi, na watoto wanaweza kuiga upendo wenye Yesu alionyesha. Yesu alituachia mufano gani?

SURA YA 15

Dini Inayokubaliwa na Mungu

Chunguza alama sita zenye kuwatambulisha walio katika dini ya kweli.

SURA YA 16

Shikamana na Ibada ya Kweli

Unaweza kupata magumu gani wakati unaelezea wengine mambo unaamini? Namna gani unaweza kufanya hivyo bila kuwakwaza?

SURA YA 17

Namna ya Kumukaribia Mungu Katika Sala

Je, Mungu anasikia wakati unasali? Ili kujibia ulizo hilo, ni lazima uelewe kwanza mambo yenye Biblia inafundisha juu ya sala.

SURA YA 18

Ubatizo Ni Hatua Inayomuongoza Mutu Kwenye Uhusiano Muzuri Pamoja na Mungu

Mutu anapaswa kufanya hatua gani ili astahili kubatizwa? Jifunze ubatizo unamaanisha nini na namna gani unafanywa.

SURA YA 19

Baki Katika Upendo wa Mungu

Namna gani tunaweza kuonyesha upendo na shukrani juu mambo yote yenye Mungu ametufanyia?

NYONGEZA

Jina la Mungu​—Je, Inafaa Tulitumie? Maana ya Jina Hilo Ni Nini

Jina la pekee la Mungu limeondolewa katika tafsiri nyingi za Biblia. Sababu gani? Je, ni jambo la maana kutumia jina Mungu?

NYONGEZA

Namna Nabii Danieli Alivyotabiri Kutokea Kwa Masiya

Mungu alifunua wakati kamili ambamo Masiya angetokea, zaidi ya miaka 500 mbele ya kutokea kwake. Jifunze kuhusu unabii huu wenye kushangaza!

NYONGEZA

Yesu Kristo Ndiye Masiya Aliyeahidiwa

Yesu alitimiza unabii wote wa Biblia kuhusu Masiya. Chunguza katika Biblia yako ili uone kwamba unabii wote huo ulitimia kabisa.

NYONGEZA

Yale Unayopaswa Kujua Juu ya Baba, Mwana, na Roho Takatifu

Watu wengi wanaamini kwamba fundisho la Utatu linapatikana katika Biblia. Je, ni kweli?

NYONGEZA

Sababu Gani Wakristo wa Kweli Hawatumii Musalaba Katika Ibada?

Je, kweli Yesu alikufa juu ya musalaba? Soma jibu la Biblia.

NYONGEZA

Chakula cha Bwana​—Ukumbusho Unaomuletea Mungu Heshima

Wakristo wamepewa amri ya kufanya Ukumbusho wa kifo cha Kristo. Ukumbusho unapaswa kufanywa namna gani na wakati gani?

NYONGEZA

“Nafsi” na “Roho”​—Ni Nini Kabisa?

Watu wengi wanaamini kwamba wakati mutu anakufa sehemu fulani yenye haionekane inatoka katika mwili na inaendelea kuishi. Neno la Mungu linatuambia nini?

NYONGEZA

Sheoli na Hadesi Ni Nini?

Tafsiri fulani za Biblia zinatumia maneno “kaburi” ao “moto wa mateso” nafasi ya Sheoli na Hadesi. Maneno hayo yanamaanisha nini kabisa?

NYONGEZA

Siku ya Hukumu​—Ni Nini?

Jifunze namna gani Siku ya Hukumu itakuwa baraka kwa wanadamu waaminifu.

NYONGEZA

1914​—Ni Mwaka wa Maana Sana Katika Unabii wa Biblia

Kuna shuhuda gani wa Biblia wenye kuonyesha kwamba 1914 ulikuwa mwaka wa maana sana?

NYONGEZA

Malaika Mukubwa Anayeitwa Mikaeli Ni Nani?

Biblia inatuambia malaika huyo mukubwa mwenye nguvu ni nani. Jifunze mambo mengi kuhusu malaika huyo na mambo yenye anafanya sasa.

NYONGEZA

‘Babiloni Mukubwa’ Ni Nini?

Kitabu cha Ufunuo kinasema kuhusu mwanamuke anayeitwa ‘Babiloni Mukubwa.’ Je, ni mwanamuke wa kawaida? Biblia inasema nini juu ya mwanamuke huyo?

NYONGEZA

Je, Yesu Alizaliwa Mwezi wa Kumi na Mbili?

Chunguza hali ya hewa ya kipindi cha mwaka ambamo Yesu alizaliwa. Hali hiyo inatuambia nini juu ya kuzaliwa kwa Yesu?

NYONGEZA

Je, Ni Vibaya Kufanya Sikukuu?

Sikukuu nyingi zenye kufanywa nafasi unaishi zilianzia wapi? Jibu la ulizo hilo linaweza kukushangaza.