‘Kwa Hakika Mungu Alimufanya Kuwa Bwana na Kristo’

Wakati unapopita, tunaweza kuwa na mashaka na imani yetu inaweza kuregea. Tia nguvu imani yako katika Yesu, Masiya mwenye aliahidiwa na Mufalme wa Ufalme wa Mungu.

‘Kwa Hakika Mungu Alimufanya Kuwa Bwana na Kristo’ (Sehemu ya 1)

Ni nini inakusadikisha kama Mungu alimufanya Yesu kuwa Bwana na Kristo?

‘Kwa Hakika Mungu Alimufanya Kuwa Bwana na Kristo’ (Sehemu ya 2)

Ona jambo lenye linaweza kukusaidia kutia nguvu imani yako katika Yesu.