Roho za Wafu​—Zinaweza Kukusaidia ao Kukutendea Mubaya? Zinakuwaka Kabisa?

Biblia inafundisha nini juu ya wafu? Wanaweza kukusaidia ao kukutendea mubaya?

Utangulizi

Watu wengi wanaamini kama wafu wanaendaka mu ulimwengu wa roho, na kule wanaweza kuona watu wenye wako ku dunia na kuwatendea muzuri ao mubaya. Ile ni kweli?

Roho Hawako Watu Wenye Waliishi ku Dunia Kisha Wakakufa

Maneno yenye Mungu aliambia mutu wa kwanza, Adamu, inatusaidia kuelewa hali ya wafu.

Kuko Mamilioni ya Viumbe wa Roho

Nabii Danieli aliona mu maono mamia ya mamilioni ya malaika.

Uasi Unatokea Mbinguni

Malaika fulani waligeuka na kuwa wabaya, na ile ililetea wanadamu mateso mingi.

Pepo Wachafu Ni Wauaji!

Habari zenye ziko mu Biblia na za leo zinaonyesha kama pepo wachafu hawana huruma na wanatendeaka watu mubaya.

Mashetani Wanafanya Ionekane Kama Wafu Wako Naishi

Pepo wachafu wamedanganya watu wengi sana, lakini Biblia inatusaidia kuwavumbula.

Mashetani Wanachochea Watu Wasimutii Mungu

Juu ya kufanya vile, wanachezaka na akili ya watu.

Umutumikie Yehova, Hapana Shetani

Nini njo itaonyesha kama umekamata uamuzi wa hekima?

Mambo Itakuwa Muzuri mu Siku Zenye Ziko Nakuya

Shetani na mashetani wake hawatadanganya wanadamu milele. Kisha wao kuharibiwa, Yehova atabariki wanadamu wote.

Dunia Itakuwa Paradiso

Hali itakuwa namna gani ku dunia kisha Yehova kutosha mambo yote ya mubaya yenye Shetani amefanya?