Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha

Broshua hii imetayarishwa juu ikusaidie ukuwe musomaji muzuri mbele ya watu na ukuwe musemaji na mufundishaji muzuri.

Barua Kutoka ku Baraza Lenye Kuongoza

Tunafundishaka ujumbe wa maana sana kupita ujumbe wowote wenye wanadamu wamekwisha kupewa.

SOMO YA 1

Utangulizi Muzuri

Utangulizi muzuri unatimiza mambo tatu.

SOMO YA 2

Namna ya Kuzungumuza

Namna muzuri ya kuzungumuza inafanya wasikilizaji wako wafurahie kukusikiliza na inawasaidia wakubali mambo yenye unataka kuwaambia.

SOMO YA 3

Kutumia Maulizo

Uliza maulizo kwa busara juu ya kufanya watu wakuwe na hamu ya kukusikiliza na juu ya kukazia mambo makubwa.

SOMO YA 4

Kutanguliza Maandiko Muzuri

Ona namna ya kutayarisha akili ya wasikilizaji wako mbele usome andiko.

SOMO YA 5

Kusoma Bila Makosa

Kusoma bila makosa ni kati ya mambo ya musingi yenye inatuwezesha kufundisha wengine wamujue Yehova.

SOMO YA 6

Kufasiria Waziwazi Sababu ya Kutumia Andiko

Saidia wasikilizaji wako waone waziwazi uhusiano kati ya andiko yenye unasoma na wazo lenye unataka kuwafundisha.

SOMO YA 7

Kusema Mambo ya Kweli na Kusadikisha Wasikilizaji

Kusema mambo ya kweli na ya kusadikisha kutasaidia wasikilizaji wako wafikie uamuzi wenye uko sawa.

SOMO YA 8

Mifano Yenye Inafundisha

Fanya ufundishaji wako ukuwe muzuri kwa kutumia mifano ya mwepesi yenye itapendeza wasikilizaji wako na kuwafundisha mambo ya maana.

SOMO YA 9

Kutumia Muzuri Vitu vya Kuonyesha Wakati wa Kufundisha

Tumia vitu vya kuonyesha wakati wa kufundisha juu ya kufanya mambo yenye uko unafundisha ikuwe wazi na mwepesi kukumbuka.

SOMO YA 10

Kubadilisha Sauti

Sema mbio-mbio ao polepole, badilisha sauti juu ya kuonyesha hisia, na utumie nguvu ya sauti yako juu ya kuchochea hisia na kuchochea wasikilizaji wako watende.

SOMO YA 11

Uchangamufu

Uchangamufu unaonyesha namna unajisikia kabisa na unasaidia wasikilizaji wako waendelee kuwa na hamu ya kukusikiliza.

SOMO YA 12

Kuzungumuza kwa Upole na kwa Upendo

Kama unazungumuza na hisia yenye inafaa, unaonyesha wasikilizaji wako kama unapenda kuwasaidia.

SOMO YA 13

Kuonyesha Wasikilizaji Namna ya Kutumikisha Habari

Saidia wasikilizaji wako waelewe namna habari yako inahusu maisha yao, na uwaonyeshe namna wanaweza kutumikisha mambo yenye wanajifunza.

SOMO YA 14

Kukazia Mambo Makubwa

Saidia wasikilizaji wako wafuatane na hotuba yako, na uonyeshe waziwazi namna gani kila jambo kubwa linapatana na kusudi na kichwa cha hotuba yako.

SOMO YA 15

Kuzungumuza kwa Usadikisho

Zungumuza kwa usadikisho. Onyesha kama unaamini kabisa kwamba mambo yenye uko unasema ni ya kweli na kwamba ni ya maana.

SOMO YA 16

Kutia Watu Moyo

Utie watu moyo, hapana kuwachambua-chambua. Onyesha watu kweli zenye kuburudisha za Neno la Mungu.

SOMO YA 17

Kusema Mambo ya Kueleweka

Saidia wasikilizaji wako waelewe maana ya habari yako. Sema waziwazi mambo ya maana.

SOMO YA 18

Kufundisha Kabisa Wasikilizaji Wako

Saidia wasikilizaji wako wafikiri na uwasaidie wajifunze kitu fulani cha lazima.

SOMO YA 19

Kujikaza Kugusa Moyo

Chochea wasikilizaji wako wamupende Mungu na Neno lake, Biblia.

SOMO YA 20

Umalizio Muzuri

Umalizio muzuri utasaidia wasikilizaji wako wakubali na kutumikisha mambo yenye wamejifunza.

Andika Somo Yenye Ulishatumikia

Andika somo yenye ulishatumikia juu ya kufanya namna yako ya kusoma na kufundisha ikuwe muzuri.

Ona pia...

VIDEO YENYE SEHEMU NYINGI

Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha​—Video

Kuwa na uwezo wa kusoma na kufundisha mbele ya watu.