Uwafundishe Watoto Wako

Wazazi, mutumie hadisi hizi ili kufundisha watoto wenu somo za lazima zenye kuwa mu Biblia.

Utangulizi

Maneno ya kitabu cha Kumbukumbu la Torati inaweza kukusaidia wakati unalea watoto wako.

LESSON 1

Siri Moja Yenye Kufurahisha

Biblia inazungumuza juu ya siri moja ya maana sana, siri hiyo inaitwa “siri takatifu.” Unapenda kujifunza mambo mengi juu ya siri hiyo?

LESSON 2

Rebeka Alipenda Kumufurahisha Yehova Sana

Namna gani tunaweza kufuata mufano wa Rebeka? Soma hadisi hii ili ujue mambo mengi juu ya Rebeka.

LESSON 3

Rahabu Alimuamini Yehova

Jifunze vile Rahabu na wazazi wake na ndugu zake waliokoka wakati muji wa Yeriko uliharibiwa.

LESSON 4

Binti Aliyemufurahisha Baba Yake na Pia Yehova

Mutoto wa Yefta alitimiza ahadi gani? Namna gani tunaweza kufuata mufano wa mutoto wa Yefta?

LESSON 5

Samweli Aliendelea Kufanya Mambo Mazuri

Namna gani unaweza kufuata mufano wa Samweli, hata kama watu wengine wanafanya mambo mabaya?

LESSON 6

Daudi Hakuwa Anaogopa

Soma hadisi hii yenye kufurahisha ili ujue juu ya nini Daudi hakuwa anaogopa.

LESSON 7

Unajisikia Kuwa Peke Yako na Mwenye Kuogopa?

Yehova alimuambia Eliya nini wakati Eliya alijisikia kuwa peke yake? Mambo yenye ilimupata Eliya yanakufundisha nini?

LESSON 8

Yosia Alikuwa na Marafiki Wazuri

Katika Biblia muko hadisi ya kijana mumoja anayeitwa Yosia. Haikuwa mwepesi kwake kufanya mambo mazuri. Soma ili ujue vile marafiki wake walimusaidia kufanya mambo mazuri.

LESSON 9

Yeremia Hakuacha Kuwatangazia Watu Habari ya Yehova

Hata kama watu walimuchekelea na kumusirikia sana, juu ya nini Yeremia aliendelea kuwatangazia watu habari ya Mungu?

LESSON 10

Yesu Alikuwa Anatii Kila Wakati

Ni nguvu kutii wazazi wako kila wakati. Fikiria namna mufano wa Yesu unaweza kukusaidia.

LESSON 11

Wanaume Wenye Waliandika Juu ya Maisha ya Yesu

Ujifunze juu ya wanaume munane wenye waliandika vitabu fulani vya Biblia, wenye waliishi wakati mumoja na Yesu na waliandika juu ya maisha yake.

LESSON 12

Mutoto wa Dada Yake na Paulo Hakuwa Anaogopa

Ule kijana aliokoa mujomba yake. Ule kijana alifanya nini?

LESSON 13

Timoteo Alipenda Kuwasaidia Watu

Unaweza kufanya nini ili ukuwe na maisha yenye kufurahisha sana, kama vile Timoteo?

LESSON 14

Ufalme Wenye Utatawala Dunia Yote

Wakati Yesu atatawala dunia, maisha itakuwa namna gani? Utapenda kuwa katika dunia hiyo?