Hamia kwenye habari

Habari

 

2024-06-24

HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Ripoti ya 4 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii tutachunguza jinsi ndugu na dada waliofungwa kwa sababu ya imani yao wanavyoendelea “kuushinda uovu kwa wema.”—Waroma 12:21.

Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao​—Kulingana na Eneo

Nchi ambazo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, na nyakati nyingine katika mazingira magumu, kwa sababu ya imani yao na kutumia uhuru wao wa msingi wa kibinadamu.