Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Jumla Kuu mwaka 2015

Jumla Kuu mwaka 2015
  • Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 89

  • Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 240

  • Idadi ya Makutaniko: 118,016

  • Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 19,862,783

  • Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 15,177

  • Kilele cha Wahubiri wa Ufalme: 8,220,105

  • Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 7,987,279

  • Asilimia ya Ongezeko Kupita 2014: 1.5

  • Idadi ya Waliobatizwa: 260,273

  • Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 443,504

  • Wastani wa Mapainia Kila Mwezi: 1,135,210

  • Jumla ya Saa Zilizotumiwa Shambani: 1,933,473,727

  • Wastani wa Mafunzo ya Biblia Kila Mwezi: 9,708,968

Katika mwaka wa utumishi wa 2015, Mashahidi wa Yehova walitumia zaidi ya dola milioni 236 za Marekani kuwatunza mapainia wa pekee, wamishonari, na waangalizi wasafirio katika migawo yao ya utumishi wa shambani. Ulimwenguni pote, kuna wahudumu 26,011 waliowekwa rasmi kufanya kazi katika ofisi za tawi. Wote hao ni Kikundi cha Ulimwenguni Pote cha Watumishi wa Pekee wa Wakati Wote cha Mashahidi wa Yehova.