Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2023

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2023

Inaonyesha gazeti kwenye kila habari inapatikana

MUNARA WA MULINZI GAZETI YA FUNZO

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Kama Bibi ao Bwana Yako Anaangaliaka Pornografia, 8

  • Uone Pombe Vile Mungu Anaiona, 12

  • Walijionea Kabisa Upendo wa Ndugu na Dada, 2

ULIJUA?

  • Matofali yenye ilivumbuliwa mu Babiloni ya zamani na namna ilifanywa inaonyesha namna gani kama Biblia ni ya kweli? 7

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1923—Kumepita Miaka Mia Moya Sasa, 10

  • Hulda Alifikia Muradi Wake, 11

  • Kuonyesha Huruma Watu Wote, 12

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Kuhangaikia Wengine Kunaletaka Baraka za Wakati Murefu (R. Reid), 7

  • Kumutumainia Yehova Kuliniletea Usalama wa Kweli (I. Itajobi), 11

  • Mambo ya Kufurahisha Yenye Hatukutazamia na Mambo Yenye Tulijifunza mu Utumishi wa Yehova (R. Kesk), 6

  • Nilijionea Imani ya Ndugu na Dada (R. Landis), 2

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Juu ya nini mwanaume mwenye kuitwa “Fulani wa fulani” alisema kama ikiwa anamuoa Rutu ‘angeharibu’ uriti wake mwenyewe? (Rut. 4:​1, 6), 3

  • Kisha Yesu kuzaliwa, juu ya nini Yosefu na Maria walibakia Betlehemu kuliko kurudia Nazareti? 6

  • Namna gani mambo yenye tuliamini kuhusu jina ya Yehova na Mamlaka Yake Makubwa Zaidi ilibadilika? 8

  • Waisraeli walikuwa na chakula ingine mu jangwa zaidi ya mana na kware? 10

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • “Atawatia Nguvu”—Namna Gani? 10

  • Dada Vijana—Mujikaze Kuwa Wakristo Wenye Kukomaa Kiroho, 12

  • Faida ya Kuendelea Kumuogopa Mungu, 6

  • Furahia Pendeleo Yako ya Kumutumikia Yehova mu Hekalu Yake ya Kiroho, 10

  • Furahia Tumaini Yenye Haikatishe Tamaa, 12

  • Imani na Matendo Inaweza Kufanya Mutu Akuwe Mwenye Haki, 12

  • Juu ya Nini Tunapaswa Kumuogopa Yehova? 6

  • Juu ya Nini Unapaswa Kubatizwa? 3

  • Kama Petro Usichoke, Endelea, 9

  • “Kwa Jambo Hili Wote Watajua Kama Ninyi Ni Wanafunzi Wangu,” 3

  • Mambo ya Kufanya juu Ufaidike na Usomaji Wako wa Biblia, 2

  • Mambo Yenye Barua Mbili za Petro Zinatufundisha, 9

  • Mambo Yenye Biblia Inatufundisha Kuhusu Mutungaji Wake, 2

  • Miujiza ya Yesu Inaweza Kutufundisha Nini? 4

  • Muendelee Kuwa na Uvumilivu, 8

  • Muendelee Kuwa Tayari kwa Ajili ya Siku ya Yehova, 6

  • Mufundishe Watoto Wenu juu ya Yehova Kupitia Uumbaji, 3

  • “Mugeuzwe kwa Kufanya Upya Akili Yenu,” 1

  • “Mukuwe Imara, Bila Kutikisika,” 7

  • “Mulinde Akili Zenu, Mukuwe Macho!” 2

  • Namna Tunaweza Kuendelea Kupendana Sana, 11

  • Namna ya Kufanya Sala Zetu Zikuwe Muzuri Zaidi, 5

  • Namna ya Kujitayarisha kwa Ajili ya Ubatizo, 3

  • Namna Yehova Anajibiaka Sala Zetu, 5

  • Ndugu Vijana—Mujikaze Kuwa Wakristo Wenye Kukomaa Kiroho, 12

  • “Ndugu Yako Atafufuka”! 4

  • Tujifunze Mambo Fulani Kupitia Maunabii Yenye Kuwa mu Biblia, 8

  • Tujifunze Mambo Fulani Kupitia Mufano wa Danieli, 8

  • Tunaweza Kufanya Nini ili Tuamini Kabisa Kama Yehova Atatimiza Ahadi ya Kuleta Dunia Mupya? 4

  • Tutiane Moyo ku Mikutano, 4

  • Ubebe Mizigo Yenye Unapaswa Kubeba, na Utupe ile Ingine, 8

  • Uendelee Kumutumainia Yehova Wakati wa Magumu, 11

  • Uendelee Kutembea mu “Njia ya Utakatifu,” 5

  • Ujifunze Mambo Mingi Zaidi juu ya Yehova Kupitia Uumbaji, 3

  • Ujifunze Neno ya Mungu kwa Undani Kabisa, 10

  • Uko “Tayari Kutii”? 10

  • Uko Tayari Kwa Ajili ya Taabu Kubwa? 7

  • Ukuwe Hakika Kama ‘Neno la Mungu Ni Kweli,’ 1

  • Umuige Yehova kwa Kuwa na Usawaziko, 7

  • Umupende Yehova Zaidi na Uendelee Kupenda Wengine, 7

  • Umutegemee Yehova Sawa Vile Samsoni Alifanya, 9

  • Unaweza Kufikia Miradi Yako ya Kiroho, 5

  • “Upendo Wenye Kristo Iko nao Unatulazimisha,” 1

  • Upole Haiko Uzaifu, Ni Nguvu, 9

  • Usamini Zawadi ya Mungu ya Uzima, 2

  • Usiache “Mwali wa Moto wa Yah” Uzimike, 5

  • Vijana, Mutakuwa na Maisha ya Namna Gani? 9

  • Wazee—Mujifunze Kupitia Mufano wa Gideoni, 6

  • Yehova Anabariki Bidii Yetu ya Kuhuzuria Ukumbusho, 1

  • Yehova Anatuhakikishia Kama Atatimiza Ahadi ya Kuleta Paradiso, 11

  • Yehova Atajibia Sala Zangu? 11

  • Yehova Atakusaidia Wakati Unapata Magumu Yenye Haitazamiwe, 4

  • Yehova Iko Anakusaidia, 1

NAMNA YA KUJIFUNZA

  • Habari Zingine Zenye Kuwa mu Munara wa Mulinzi (JW Library®), 6

  • Jifunze Kuweka “Nyimbo Zetu” mu Akili (jw.org), 11

  • Mazoezi kwa Ajili ya Watoto (jw.org), 9

  • Namna Kujua Ikiwa Kuko Mafasirio ya Mupya Juu ya Mambo Yenye Tunaamini (Index des publications des Témoins de Jéhovah ao Musaada wa Kutafuta Habari), 10

  • Namna ya Kupata Mali ya Kiroho juu ya Yehova (Index des publications des Témoins de Jéhovah ao Musaada wa Kutafuta Habari), 8

  • Namna ya Kutumia Muzuri Sehemu “Mambo ya Sasa” (JW Library® na jw.org), 3

  • Ni Mambo Gani Yenye Unapaswa Kujifunza Kwanza? 7

  • Pata Habari Zenye Zinatolewaka ku Ukurasa wa Kwanza wa jw.org (jw.org), 2

  • Referanse zenye kuwa mu Watchtower MAKTABA KU ENTERNETE, 5

  • Uko nafaidika na mafasirio ya maandiko ya Biblia yenye kuwa mu kitabu Musaada wa Kutafuta Habari? 4

  • Unapendaka kusoma habari juu ya maisha ya ndugu na dada zetu? 1

MUNARA WA MULINZI GAZETI YA WATU WOTE

  • Afya ya Akili​—Biblia Inaweza Kukusaidia, Na. 1

AMUKA!

  • Dunia Itaokoka Kabisa? Kuko Tumaini, Na. 1