Biblia Inatufundisha Nini?

Kitabu hiki cha kusaidia kujifunza Biblia kinaweza kukusaidia kujua mambo yenye Biblia inasema juu ya habari mbalimbali kama vile sababu gani tunateseka, watu wenye wamekufa wako katika hali gani, namna ya kuwa na maisha ya familia yenye furaha, na mambo mengine.

Hii Njo Maisha Yenye Mungu Anapenda Tukuwe Nayo?

Unaweza kujiuliza juu ya nini kuko magumu mingi sana leo. Biblia inafundisha kama hivi karibuni Mungu atatenda ili kumaliza magumu ya wanadamu kama vile mateso, magonjwa, na kifo.

SURA YA 1

Mungu Ni Nani?

Unawaza kama Mungu anakuhangaikiaka? Ujifunze juu ya sifa zake na namna unaweza kuwa rafiki ya Mungu.

SURA YA 2

Biblia: Kitabu Kutoka kwa Mungu

Namna gani Biblia inaweza kukusaidia kupiganisha magumu yako? Sababu gani unaweza kuamini unabii wa Biblia?

SURA YA 3

Mungu Anapenda Wanadamu Wakuwe na Maisha ya Namna Gani?

Maisha yatakuwa namna gani mu ulimwengu mupya wakati dunia itakuwa paradiso?

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani?

Ujifunze sababu gani Yesu ni masiya mwenye aliahidiwa, alitoka wapi, na sababu gani ni Mwana muzaliwa pekee wa Mungu.

SURA YA 5

Bei ya Ukombozi: Zawadi Kubwa Zaidi Kutoka kwa Mungu

Bei ya ukombozi ni nini? Namna gani inaweza kukuletea faida?

SURA YA 6

Tunaenda Wapi Wakati Tunakufa?

Ujifunze mambo yenye Biblia inafundisha juu mahali kwenye watu wenye wamekufa wako na sababu gani wanadamu wanakufaka.

SURA YA 7

Kutakuwa Ufufuo!

Mutu fulani mwenye unapenda amekwisha kufa? Inawezekana kumuona tena? Ujifunze mambo yenye Biblia inafundisha juu ya ufufuo.

SURA YA 8

Ufalme wa Mungu Ni Nini?

Watu wengi wanajua Sala ya Bwana. Maneno haya maana yake nini: “Ufalme wako ukuje”?

SURA YA 9

Mwisho wa Dunia Uko Karibu?

Ona matendo na tabia za watu wenye kutuzunguka zenye kuonyesha kama tunaishi sasa mu siku za mwisho, kama vile Biblia ilitabiri.

SURA YA 10

Kweli Juu ya Malaika

Biblia inazungumuzia malaika na pepo wachafu. Viumbe hao wa roho wako kabisa? Wanaweza kutusaidia ao kutufanyia mambo ya mubaya?

SURA YA 11

Juu ya Nini Kuko Mateso Mingi Sana?

Watu wengi wanawaza kama Mungu ndiye analeta mateso mu dunia. Unawaza nini? Ujifunze mambo yenye Mungu anasema juu ya sababu zenye zinafanya kukuwe mateso.

SURA YA 12

Unaweza Kufanya Nini ili Ukuwe Rafiki ya Mungu?

Inawezekana kuishi maisha yenye kumupendeza Yehova. Kwa kweli, unaweza kuwa rafiki yake.

SURA YA 13

Heshimia Uzima: Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu

Namna gani Mungu anaona kutosha mimba, kutia damu mu mishipa, na uzima wa wanyama?

SURA YA 14

Familia Yako Inaweza Kuwa na Furaha

Upendo wenye Yesu alionyesha ni mufano wenye bwana, bibi, wazazi, na watoto wanaweza kuiga. Mufano wake unatufundisha nini?

SURA YA 15

Njia ya Muzuri ya Kumuabudu Mungu

Chunguza mambo sita yenye kutambulisha wale wenye kuwa mu dini ya kweli.

SURA YA 16

Chagua Kumuabudu Mungu mu Njia Yenye Anapenda

Unaweza kupata magumu gani wakati unaambia wengine mambo yenye unaamini? Namna gani unaweza kufanya vile bila kuwakwaza?

SURA YA 17

Sala Ni Zawadi Kutoka kwa Mungu

Mungu anasikiliza wakati unasali? Ili ujibu ulizo hilo, unapaswa kuelewa mambo yenye Biblia inafundisha juu ya sala.

SURA YA 18

Ninapaswa Kutoa Maisha Yangu kwa Mungu na Kubatizwa?

Unapaswa kufanya mambo gani ili ustahili kubatizwa? Ujifunze maana ya ubatizo na namna gani unapaswa kufanywa.

SURA YA 19

Endelea Kuwa Rafiki ya Yehova

Namna gani tunaweza kumuonyesha Mungu upendo na shukrani juu ya mambo yote yenye amefanya?

Mafasirio Ingine

Maana ya maneno na misemwa yenye kutumiwa mu kitabu Biblia Inatufundisha Nini?