Hamia kwenye habari

Austria

 

2017-09-19

Mji wa Austria Wawakumbuka Mashahidi wa Yehova 31 Ambao ni Waathirika wa Utawala wa Nazi

Jiwe la msingi la Techelsberg lilifunguliwa kwa ajili ya kuwakumbuka Mashahidi wa Yehova waliouawa au kufungwa gerezani katika kambi za mateso za Wanazi wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu.

2015-11-05

Meya Aweka Jiwe la Msingi kwa Ajili ya Kijana Mwaustria Aliyeuawa na Wanazi

Gabriele Votava alitoa hotuba kumpa heshima Gerhard Steinacher, Shahidi wa Yehova aliyeuawa akiwa na umri wa miaka 19 kwa sababu ya kukataa kuunga mkono vita.

2014-08-07

Mashahidi wa Yehova Waheshimiwa kwenye Makumbusho ya Kambi ya Mateso ya Gusen

Aprili 13, 2014, jiwe la makumbusho liliwekwa ili kuwatambua Mashahidi 450 waliofungwa na Wanazi katika kambi ya mateso ya Mauthausen na ya Gusen nchini Austria.

2019-01-19

Austria Yaamrishwa Iwalipe Fidia Mashahidi wa Yehova kwa Sababu ya Ubaguzi

Mnamo Septemba 25, 2012, Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu ilifikia mkataa kwamba serikali ya Austria ilikuwa na hatia ya kuwabagua Mashahidi wa Yehova.