Hamia kwenye habari

FEBRUARI 1, 2021
ERITREA

Wenye Mamlaka Nchini Eritrea Wawaachilia Mashahidi Wengine wa Yehova Waliofungwa kwa Sababu ya Imani

Wenye Mamlaka Nchini Eritrea Wawaachilia Mashahidi Wengine wa Yehova Waliofungwa kwa Sababu ya Imani

Februari 1, 2021, wenye mamlaka nchini Eritrea walimwachilia ndugu mmoja na dada wawili kutoka gerezani. Walikuwa wamefungwa kwa miaka minne hadi tisa kwa sababu ya imani yao. Tunaendelea kusali kwa ajili ya ndugu na dada 20 ambao bado wako gerezani, wanapoendelea kudumisha utimilifu wao kwa Yehova.—2 Wakorintho 1:11.