Matukio Muhimu Kihistoria Nchini Eritrea
APRILI 2014—Wenye mamlaka wakamata zaidi ya Mashahidi 120 (wanaume, wanawake, na watoto) kwa sababu ya kuhudhuria mikutano ya kidini; wengi wao waliachiliwa huru baadaye
JULAI 8, 2008—Wenye mamlaka wavamia nyumba na maeneo ya kazi ya Mashahidi na kukamata Mashahidi 24
MEI 2002—Serikali yapiga marufuku vikundi vyote vya kidini isipokuwa vikundi vinne vinavyotambuliwa na serikali
OKTOBA 25, 1994—Mashahidi wa Yehova wapoteza uraia wao na haki zilizowalinda kama raia kwa sababu ya amri iliyotolewa na rais wa Eritrea
SEPTEMBA 17, 1994—Wenye mamlaka waliwakamata Paulos Eyassu, Isaac Mogos, na Negede Teklemariam bila kuwafungulia mashtaka yoyote
1994—Wenye mamlaka waanza kuwakamata na kuwafunga Mashahidi wa Yehova
APRILI 27, 1993—Eritrea yapata uhuru kutoka Ethiopia
1954—Kikundi kidogo cha Mashahidi wa Yehova chaanza kufanya ibada