Hamia kwenye habari

INDIA

Matukio Muhimu Kihistoria Nchini India

Matukio Muhimu Kihistoria Nchini India
  1. JANUARI 27, 2014—Tume ya Serikali ya Haki za Kibinadamu ya Karnataka yathibitisha polisi walikiuka haki za Mashahidi na ikapendekeza walipwe fidia

  2. MACHI 2002—Mashahidi wahamishia ofisi yao Bangalore kwa sababu ya ukuzi

  3. 2002—Jeuri ya vikundi vya watu dhidi ya Mashahidi wa Yehova yaongezeka

  4. AGOSTI 11, 1986—Mahakama Kuu ya India yatoa uamuzi muhimu sana katika kesi ya Shahidi, Bijoe Emmanuel v. State of Kerala, na hivyo kutetea uhuru wa kusema

    SOMA ZAIDI

  5. MACHI 7, 1978—Shirika la kisheria la Mashahidi, Watch Tower Bible and Tract Society of India lasajiliwa

  6. JANUARI 26, 1950—India inapata katiba mpya ikiwa nchi huru

  7. DESEMBA 9, 1944—Serikali yaruhusu machapisho ya Mashahidi wa Yehova

  8. JUNI 14, 1941—Serikali yapiga marufuku machapisho ya Mashahidi wa Yehova

  9. 1926—Mashahidi wafungua ofisi Bombay

  10. 1905—Kikundi cha kwanza cha Mashahidi wa Yehova chafanya ibada