Hamia kwenye habari

MAENEO YA PALESTINA

Matukio Muhimu Kihistoria Katika Maeneo ya Palestina

Matukio Muhimu Kihistoria Katika Maeneo ya Palestina
  1. JANUARI 2014—Wenye mamlaka nchini Palestina walikubali kuwapatia watoto wa Mashahidi vyeti vya kuzaliwa baada ya kukataa kufanya hivyo mara kadhaa

    SOMA ZAIDI

  2. OKTOBA 2, 2013—Mahakama Kuu ya Ramallah yakataa ombi la kusajiliwa kisheria la Mashahidi

  3. SEPTEMBA 20, 2010—Ombi la kusajiliwa kisheria latumwa tena; majibu hayakurudishwa

  4. AGOSTI 4, 1999—Maombi ya kutambuliwa kisheria yatumwa kwa rais wa Mamlaka ya Palestina lakini hayakushughulikiwa

  5. 1967—Makutaniko mawili yaliyokuwa katika eneo la Jordan yawa sehemu ya eneo la West Bank nchini Israel

  6. 1948—Baada ya vita vya Palestina na Israel, makutaniko mawili ya kwanza yaliyokuwa Palestina yakawa sehemu ya Jordan

  7. 1920—Kutaniko la kwanza la Mashahidi wa Yehova laanzishwa Ramallah

  8. 1891—Msimamizi wa kwanza wa Watch Tower Society, Charles T. Russell, atembelea Palestina