Hamia kwenye habari

NAMIBIA

Matukio Muhimu Kihistoria Nchini Namibia

Matukio Muhimu Kihistoria Nchini Namibia
  1. JUNI 24, 2015—Mahakama Kuu yaamua kwamba Efigenia Semente alikuwa na haki ya kufanya maamuzi kuhusu mwili wake mwenyewe na kufanya maamuzi ya kitiba

    SOMA ZAIDI

  2. NOVEMBA 3, 2008—Serikali yasajili shirika la kisheria la Mashahidi, Christian Congregation of Jehovah’s Witnesses of Namibia

  3. MACHI 21, 1990—Namibia yapata uhuru

  4. 1929—Mashahidi wa Yehova waripoti utendaji wao kwa mara ya kwanza nchini Namibia

  5. OKTOBA 1, 1922—Ushirika wa Mataifa lateua Afrika Kusini, iliyokuwa ikitawaliwa na Uingereza, iwe na mamlaka juu ya Afrika Kusini-Magharibi (jina la awali la Namibia)