Hamia kwenye habari

Ukrainia

 

2019-07-11

UKRAINIA

Mashahidi wa Yehova Wafanya Maonyesho ya Biblia Nchini Ukrainia

Mashahidi wa Yehova wanaoishi nchini Ukrainia wamekuwa na maonyesho ya pekee ya Biblia yanayokazia kutolewa kwa Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo katika Lugha ya Ishara ya Kirusi.

2018-11-20

UKRAINIA

Kuonyesha Ukarimu na Umoja Wakati wa Kusanyiko la Pekee Nchini Ukrainia

Mashahidi wa Yehova jijini Lviv, Ukrainia, wakiwakaribisha maelfu ya wajumbe kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kusanyiko la pekee. Wageni walifurahia utamaduni wa wenyeji na matembezi.

2018-10-30

UKRAINIA

“Jamhuri ya Donetsk” Yapiga Marufuku Mashahidi wa Yehova

Tendo hilo la Mahakama Kuu ya DPR kupiga marufuku utendaji wetu ndilo tukio la karibuni zaidi katika mfuatano wa matukio ya ukandamizaji wa kidini dhidi ya Mashahidi wa Yehova katika mashariki mwa Ukrainia.