Ukrainia
Inaonyesha tokeo la 16 - 30 kati ya matokeo 44
Mashahidi wa Yehova Wafanya Maonyesho ya Biblia Nchini Ukrainia
Mashahidi wa Yehova wanaoishi nchini Ukrainia wamekuwa na maonyesho ya pekee ya Biblia yanayokazia kutolewa kwa Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo katika Lugha ya Ishara ya Kirusi.
Kuonyesha Ukarimu na Umoja Wakati wa Kusanyiko la Pekee Nchini Ukrainia
Mashahidi wa Yehova jijini Lviv, Ukrainia, wakiwakaribisha maelfu ya wajumbe kutoka nchi mbalimbali kwa ajili ya kusanyiko la pekee. Wageni walifurahia utamaduni wa wenyeji na matembezi.
“Jamhuri ya Donetsk” Yapiga Marufuku Mashahidi wa Yehova
Tendo hilo la Mahakama Kuu ya DPR kupiga marufuku utendaji wetu ndilo tukio la karibuni zaidi katika mfuatano wa matukio ya ukandamizaji wa kidini dhidi ya Mashahidi wa Yehova katika mashariki mwa Ukrainia.
Inaonyesha tokeo la 16 - 30 kati ya matokeo 44