Ukrainia
Uhuru wa Ibada Uko Hatarini Mashariki mwa Ukrainia
Mashahidi wa Yehova wanateswa na uhuru wao wa ibada uko hatarini katika baadhi ya maeneo ya Luhansk na Donetsk.
Maofisa Wahudhuria Siku ya Wageni ya Mashahidi wa Yehova Nchini Ukrainia
Kwa mara ya kwanza tangu mwaka wa 2001, ofisi ya tawi ya Ukrainia imekuwa na siku ya pekee ya wageni, Mei 2, 2017.
Mahakama Kuu ya Ukrainia Yaimarisha Uhuru wa Kukusanyika kwa Amani
Mashahidi wa Yehova nchini Ukrainia sasa wanaweza kukusanyika kwenye majengo ya kukodi bila kuingiliwa.
Kuzuiwa kwa Ibada Kwaendelea Kwenye Maeneo ya Mashariki Mwa Ukrainia
Vikundi vya watu wenye silaha vinaendelea kuyamiliki kwa nguvu Majumba ya Ufalme. Licha ya changamoto hizo, Mashahidi wanaendelea kukutana pamoja kwa ajili ya ibada pamoja na waabudu wenzao.
Mahakama Kuu ya Ukrainia Yatetea Haki ya Kutojiunga na Jeshi kwa Sababu ya Dhamiri Watu Wanapoandikishwa Kwenda Vitani
Mahakama za Ukrainia zakubali kwamba kukataa kujiunga na jeshi kwa sababu ya dhamiri ni haki ya msingi ya binadamu inayowalinda hata wakati watu wanapoandikishwa kwenda vitani.
Washambuliwa kwa Sababu ya Imani ya Dini Huko Mashariki mwa Ukrainia
Vikosi vya watu wenye silaha viliwateka nyara na kuwatesa Mashahidi wa Yehova 26 kwa sababu walikataa kufuata mafundisho ya Othodoksi na kuunga mkono siasa. Mashahidi hawakulegeza msimamo wao.
Mashahidi wa Yehova Warusha Matangazo ya Mkutano wa Pekee katika Eneo la Vita Nchini Ukrainia
Mnamo Februari 14, 2015, Mashahidi wa Yehova nchini Ukrainia walifanya mkutano wa pekee uliokusudiwa kuwapa msaada wa kiroho waabudu wenzao zaidi ya 17,000 wanaoishi katika eneo lenye vita.
Mahakama za Ukrainia Zatambua Haki ya Kutojiunga na Jeshi Wakati wa Vita
Mahakama za Ukrainia zatoa uamuzi kwamba haki za wanaokataa utumishi wa jeshi kwa sababu ya dhamiri hazipaswi kupuuzwa kwa sababu ya usalama wa taifa.
Majengo ya Ibada Yatekwa Katika Maeneo ya Mashariki ya Ukrainia
Vikosi vyenye silaha vyateka Majumba ya Ufalme ya Mashahidi wa Yehova. Je hivyo ni vitendo vya uhalifu wa kawaida tu, au ni mateso ya kidini?
Taarifa: Mashahidi wa Yehova Watoa Msaada kwa Maelfu ya Watu Waliokosa Makao Huko Ukrainia
Ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova nchini Ukrainia yaendelea kutoa msaada kwa maelfu ya Mashahidi walikosa makao kwa sababu ya vita katika eneo la mashariki mwa Ukrainia.
Licha ya Vita Mashahidi wa Yehova Nchini Ukrainia Wakusanyika kwa Amani; Biblia Yatolewa
Huku vita vikiwa vimepamba moto Ukrainia mashariki, maelfu ya watu walikusanyika kule Lviv kwa ajili ya Kusanyiko la “Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme wa Mungu!” Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya iliyorekebishwa ilitolewa katika Kiukrainia.
Kutotekeleza Sheria Nchini Ukrainia Kwachochea Ongezeko la Uhalifu
Wachochezi wa jeuri na chuki ya kidini hawaadhibiwi. Kushambuliwa na kutendewa kwa jeuri kwa watu wenye amani ambao ni Mashahidi wa Yehova kwaongezeka.
Ripoti Kuhusu Ukrainia na Crimea
Licha ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, Mashahidi nchini Ukrainia na Crimea watafanya makusanyiko 40 hivi ya eneo yatakayokazia amani ya wakati ujao chini ya Ufalme wa Mungu.
Maamuzi ya Haki Yatolewa Nchini Ukrainia
Mahakama Kuu ya Ukrania ilizuia jaribio lisilo la haki la watu waliotaka kunyakua uwanja ambao ni mali halali ya Mashahidi wa Yehova