Hamia kwenye habari

MEI 11, 2018
HABARI ZA ULIMWENGUNI POTE

Upendo Waonyeshwa Kupitia Kazi ya Kutoa Msaada Visiwani

Upendo Waonyeshwa Kupitia Kazi ya Kutoa Msaada Visiwani

Video ifuatayo inatia ndani habari za karibuni baada ya Vimbunga Irma na Maria katika nchi zilizo chini ya ofisi za tawi za Barbados, Ufaransa, na Marekani. Inaonyesha jitihada nyingi za wengi waliojitolea kusaidia ndugu zetu na inaonyesha pia kwa ufupi ziara ya Mark Sanderson wa Baraza Linaloongoza na Gary Breaux, msaidizi wa Halmashauri ya Utumishi.