Hamia kwenye habari

Urusi

 

2022-03-23

URUSI

Hatupaswi Kuogopa Mnyanyaso

Wakati wa mkutano wa kila mwaka wa 2019, Ndugu Mark Sanderson wa Baraza Linaloongoza alitoa hotuba yenye kichwa “Tunapaswa Kuogopa Nini?” Hotuba hiyo ilitia ndani kisehemu hiki cha video iliyo na masimulizi kutoka kwa baadhi ya ndugu na dada ambao wameteswa nchini Urusi.