Urusi
Mahakama ya Oryol Yasikiliza Ushahidi wa Kwanza wa Kesi ya Dennis Christensen
Bw. Christensen, amekuwa mahabusu tangu Mei 2017. Anaweza kukabili kifungo cha miaka sita hadi kumi gerezani kwa sababu tu ya kushiriki utendaji wake wa kidini.
Kampeni ya Kuwatisha Mashahidi wa Yehova Yaanza Nchini Urusi
Wenye mamlaka nchini Urusi wameyafungia mashirika ya kisheria ya Mashahidi wa Yehova, na sasa wameanza kuwashambulia Mashahidi na ibada yao.
Wenye Mamlaka Nchini Urusi Wajaribu Kunyakua Mali Inayomilikiwa na Shirika la Mashahidi wa Yehova la Marekani
Mahakama ya Jiji la Saint Petersburg itasikiliza rufaa ya Mashahidi wa Yehova kuhusu hukumu iliyotolewa ya kunyakua ofisi yao ya kitaifa nchini Urusi.
Rufaa Yakataliwa—Mahakama ya Urusi Yaunga Mkono Uamuzi wa Kuitangaza Biblia Kuwa na “Msimamo Mkali”
Sasa ni kosa la jinai kwa mtu yoyote kuwasambazia wengine Tafsiri ya Ulimwengu Mpya. Hata tu kuwa na nakala ya Biblia hiyo kunaweza kumweka mtu kwenye hatari ya kutozwa faini kubwa au jambo lingine baya zaidi.
Wenye Mamlaka Nchini Urusi Wachukua Jumba la Kusanyiko la Mashahidi wa Yehova
Uporaji huo umetukia juma moja baada ya uamuzi wa mahakama ambao unatishia kuchukuliwa kwa jengo lililotumiwa na Mashahidi wa Yehova kama makao yao makuu ya taifa, lililoko karibu na jiji la St. Petersburg.