Hamia kwenye habari

Ndugu Aleksey Gerasimov

MEI 3, 2023 | HABARI ZIMEONGEZWA: DESEMBA 13, 2023
URUSI

HABARI ZA KARIBUNI—NDUGU AFUNGWA | “Macho ya Yehova Yananitazama”

HABARI ZA KARIBUNI—NDUGU AFUNGWA | “Macho ya Yehova Yananitazama”

Desemba 7, 2023,Mahakama ya Wilaya ya Kirovskiy iliyo katika jiji la Kazan imemhukumu Ndugu Aleksey Gerasimov kifungo cha miaka sita gerezani. Alipelekwa gerezani moja kwa moja kutoka mahakamani.

Maelezo Mafupi Kumhusu

Tunajua kwamba Yehova hatawaacha watumishi wake washikamanfu. Yeye ni mwaminifu naye hutusaidia kuvumilia jaribu lolote.​—1 Wakorintho 10:13.

Mfuatano wa Matukio

  1. Februari 10, 2022

    Kesi ya uhalifu ilifunguliwa

  2. Machi 18, 2022

    Nyumba yake ilifanyiwa msako naye alihojiwa

  3. Septemba 23, 2022

    Aliwekewa vizuizi vya kusafiri

  4. Februari 22, 2023

    Kifungo cha uhalifu kilianza