Hamia kwenye habari

Ndugu Vadim Fedorov

MACHI 22, 2023 | HABARI ZILIONGEZWA: APRILI 28, 2023
URUSI

HABARI ZA KARIBUNI—NDUGU AHUKUMIWA | “Nimeazimia Kufanya Kile Yehova Anachotaka”

HABARI ZA KARIBUNI—NDUGU AHUKUMIWA | “Nimeazimia Kufanya Kile Yehova Anachotaka”

Aprili 28, 2023, Mahakama ya Jiji la Asha iliyo katika Eneo la Chelyabinsk ilimhukumu Ndugu Vadim Fedorov kifungo cha nje cha miaka sita. Hahitaji kwenda gerezani wakati huu.

Maelezo Mafupi Kumhusu

Kama Vadim, sisi pia tuna uhakika kwamba Yehova atawabariki na kuwaimarisha wale wanaoendelea kumtumaini na “[kufuata] njia yake.”​—Zaburi 37:34.

Mfuatano wa Matukio

  1. Juni 11, 2021

    Maofisa wa polisi walivamia nyumba ya Vadim na ya Andrey, mwana wake

  2. Aprili 29, 2022

    Vadim alishtakiwa kuwa mhalifu

  3. Desemba 1, 2022

    Kesi ya uhalifu ilianza