NOVEMBA 24, 2021
URUSI
Kuchunguza Uumbaji Kunamwimarisha Ndugu Andrey Kolesnichenko
Mfuatano wa Matukio
Mahakama ya Jiji la Severskiy ya Eneo la Tomsk itatangaza hivi karibuni hukumu yake katika kesi ya Ndugu Andrey Kolesnichenko. a Mwendesha-mashtaka bado hajatoa ombi la hukumu anayopendekeza.
Julai 7, 2021
Kesi ya uhalifu ilianza
Mei 21, 2021
Alishtakiwa rasmi kuwa mhalifu kwa sababu ya kuhudhuria mikutano ya Mashahidi wa Yehova
Machi 25,2021
Kesi ya uhalifu ilifunguliwa dhidi ya Andrey
Julai 14, 2020
Maofisa wa FSB wavamia nyumba tano za Mashahidi wa Yehova zilizo Seversk, kutia ndani nyumba ya familia ya Kolesnichenko
Maelezo Mafupi Kumhusu
Tunapata ujasiri wa “kulisema neno la Mungu bila woga” tunapotafakari jinsi ndugu na dada zetu nchini Urusi wanavyoendelea kumtegemea Yehova.—Wafilipi 1:13, 14.
a Tarehe ya hukumu haitolewi mapema pindi zote.