APRILI 23, 2014
URUSI
Uhuru wa Ibada Wakandamizwa Nchini Urusi
Wenye mamlaka katika eneo la Taganrog nchini Urusi wanawashtaki Mashahidi wa Yehova kuwa wahalifu. Ni nini kilichowafanya washambulie uhuru wa ibada? Je, historia imeanza kujirudia?