Hamia kwenye habari

APRILI 23, 2014
URUSI

Uhuru wa Ibada Wakandamizwa Nchini Urusi

Uhuru wa Ibada Wakandamizwa Nchini Urusi

Wenye mamlaka katika eneo la Taganrog nchini Urusi wanawashtaki Mashahidi wa Yehova kuwa wahalifu. Ni nini kilichowafanya washambulie uhuru wa ibada? Je, historia imeanza kujirudia?