Agosti 22 -28
ZABURI 106-109
Wimbo 2 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mshukuruni Yehova”: (Dak. 10)
Zb 106:1-3
—Yehova anastahili shukrani zetu (w15 1/15 8 ¶1; w02 6/1 18 ¶19) Zb 106:7-14, 19-25, 35-39
—Waisraeli walipoteza uthamini na wakakosa uaminifu (w15 1/15 8-9 ¶2-3; w01 6/15 13 ¶1-3) Zb 106:4, 5, 48
—Tuna sababu nyingi za kumshukuru Yehova (w11 10/15 5 ¶7; w03 12/1 15-16 ¶3-6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zb 109:8
—Je, Mungu aliamua mapema kwamba Yuda atamsaliti Yesu ili kutimiza unabii huu? (w00 12/15 24 ¶20; it-1 857-858) Zb 109:31—Ni kwa njia gani Yehova husimama “kwenye mkono wa kuume wa maskini”? (w06 9/1 14 ¶8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zb 106:1-22
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) ll 6
—Weka msingi wa ziara ya kurudia. Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) ll 7
—Weka msingi wa ziara inayofuata. Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 178-179 ¶14-16
—Msaidie mwanafunzi aone jinsi anavyoweza kutumia habari.
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 94
Yehova Atatutimizia Mahitaji Yetu (Zb 107:9): (Dak. 15) Mazungumzo. Anza kwa kuonyesha video Yehova Atatutimizia Mahitaji Yetu. (Nenda kwenye tv.pr418.com, tafuta kwenye VIDEO ON DEMAND > FAMILY.) Waombe wasikilizaji waeleze mambo waliyojifunza.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 22 ¶14-24, na mambo ya kufikiria
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 149 na Sala