Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | ZABURI 106-109

“Mshukuruni Yehova”

“Mshukuruni Yehova”

Kwa nini Waisraeli walisahau upesi matendo ya wokovu ya Yehova?

106:7, 13, 14

  • Waliacha kumkazia Yehova fikira na wakaanza kukazia fikira mapendezi na mahitaji yao ya kimwili

Unaweza kufanya nini ili kusitawisha na kudumisha moyo wenye shukrani?

106:1-5

  • Kazia fikira sababu nyingi ulizo nazo za kumshukuru Yehova

  • Tafakari kuhusu tumaini letu la wakati ujao

  • Mshukuru Yehova katika sala kwa ajili ya baraka hususa