DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Aprili 2016
Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
Mapendekezo ya kutoa Amkeni! na kitabu Biblia Inafundisha. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili
Rafiki watatu wa Ayubu walimwongezea huzuni kwa kumshutumu kwa uwongo badala ya kumfariji. (Ayubu 16-20)
MAISHA YA MKRISTO
Njia Mpya ya Kuanzisha Mazungumzo
Anzisha mazungumzo kuhusu habari za Biblia kwa kutumia mfululizo mpya “Biblia Inasema Nini?”
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa
Ona tofauti kati ya uwongo wa Shetani na hisia halisi za Yehova kutuhusu. (Ayubu 21-
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu
Ayubu aliazimia kufuata viwango vya maadili vya Yehova na kuiga sifa yake ya haki. (Ayubu 28-
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga
Imitate the loving way Elihu dealt with his friend Job. (Job 33-
BORESHA HUDUMA YAKO
Kampeni ya Kusambaza Mialiko ya Kusanyiko
Mambo ya kukumbuka mnaposambaza mialiko ya kusanyiko la eneo la Mashahidi wa Yehova. Fanyeni mazoezi ya mapendekezo yaliyoonyeshwa.
MAISHA YA MKRISTO
Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo
Fikiria njia unazoweza kuwaonyesha wengine upendo kusanyikoni.