Ndugu na dada katika Kusanyiko la Kimataifa la Mashahidi wa Yehova la 2014 lililofanyika New Jersey, Marekani

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Aprili 2016

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo ya kutoa Amkeni! na kitabu Biblia Inafundisha. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili

Rafiki watatu wa Ayubu walimwongezea huzuni kwa kumshutumu kwa uwongo badala ya kumfariji. (Ayubu 16-20)

MAISHA YA MKRISTO

Njia Mpya ya Kuanzisha Mazungumzo

Anzisha mazungumzo kuhusu habari za Biblia kwa kutumia mfululizo mpya “Biblia Inasema Nini?”

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa

Ona tofauti kati ya uwongo wa Shetani na hisia halisi za Yehova kutuhusu. (Ayubu 21-27)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu

Ayubu aliazimia kufuata viwango vya maadili vya Yehova na kuiga sifa yake ya haki. (Ayubu 28-32)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Rafiki wa Kweli Anatoa Shauri Lenye Kujenga

Imitate the loving way Elihu dealt with his friend Job. (Job 33-37)

BORESHA HUDUMA YAKO

Kampeni ya Kusambaza Mialiko ya Kusanyiko

Mambo ya kukumbuka mnaposambaza mialiko ya kusanyiko la eneo la Mashahidi wa Yehova. Fanyeni mazoezi ya mapendekezo yaliyoonyeshwa.

MAISHA YA MKRISTO

Vikumbusho vya Kusanyiko la Eneo

Fikiria njia unazoweza kuwaonyesha wengine upendo kusanyikoni.