Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi
AMKENI!
Pendekezo: Hii ni nakala yako ya gazeti la karibuni la Amkeni!
Swali: Ona swali hili kwenye ukurasa wa 2. Una maoni gani kuhusu swali hilo?
Andiko: Mt 11:19
Makala hii inazungumzia jinsi kanuni hiyo inavyotumika katika Biblia.
AMKENI!
Swali: Je, unakubali kwamba maneno haya yanaweza kutunufaisha maishani?
Andiko: Mt 6:34
Pendekezo: [Fungua makala yenye kichwa, “Maoni ya Biblia
Biblia Inafundisha
Swali: Watu wengi wanaomwamini Mungu wangependa kuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye. Je, unajua kwamba Biblia inatutia moyo tumkaribie Mungu?
Andiko: Yak 4:8a
Pendekezo: Kitabu hiki kitakusaidia kujifunza mengi kumhusu Mungu kupitia Biblia. [Zungumzia sura ya 1 ya kitabu Biblia Inafundisha.]
ANDIKA UTANGULIZI WAKO
Ukitumia mpangilio ulioonyeshwa katika mifano iliyotangulia tayarisha utangulizi wako kwa ajili ya utumishi.