Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

AMKENI!

Pendekezo: Hii ni nakala yako ya gazeti la karibuni la Amkeni!

Swali: Ona swali hili kwenye ukurasa wa 2. Una maoni gani kuhusu swali hilo?

Andiko: Mt 11:19

Makala hii inazungumzia jinsi kanuni hiyo inavyotumika katika Biblia.

AMKENI!

Swali: Je, unakubali kwamba maneno haya yanaweza kutunufaisha maishani?

Andiko: Mt 6:34

Pendekezo: [Fungua makala yenye kichwa, “Maoni ya Biblia—Mahangaiko.”] Makala hii inazungumzia jinsi Biblia inavyoweza kutusaidia kukabiliana na mahangaiko.

Biblia Inafundisha

Swali: Watu wengi wanaomwamini Mungu wangependa kuwa na uhusiano wa karibu pamoja naye. Je, unajua kwamba Biblia inatutia moyo tumkaribie Mungu?

Andiko: Yak 4:8a

Pendekezo: Kitabu hiki kitakusaidia kujifunza mengi kumhusu Mungu kupitia Biblia. [Zungumzia sura ya 1 ya kitabu Biblia Inafundisha.]

ANDIKA UTANGULIZI WAKO

 

Ukitumia mpangilio ulioonyeshwa katika mifano iliyotangulia tayarisha utangulizi wako kwa ajili ya utumishi.