Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 21-27

Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa

Ayubu Alikataa Mawazo Yasiyofaa

Shetani anatumia uwongo kuwavunja moyo watumishi wa Yehova leo. Kitabu cha Ayubu kinaonyesha tofauti kati ya uwongo wa Shetani na hisia halisi za Yehova. Orodhesha Maandiko mengine yanayokuthibitishia kwamba Yehova anakujali.

UWONGO WA SHETANI

JINSI YEHOVA ANAVYOHISI

Mungu ni mwenye kudai mengi mno hivi kwamba hakuna jambo watumishi wake wanalofanya linalompendeza. Hakuna kiumbe anayeweza kumpendeza (Ayu 4:18; 25:5)

Yehova anathamini tunapojitahidi kwa unyenyekevu (Ayu 36:5)

Mungu huona wanadamu kuwa hawana faida (Ayu 22:2)

Yehova anakubali na kubariki kazi tunayofanya kwa uaminifu (Ayu 33:26; 36:11)

Mungu hajali hata ukiwa mwadilifu (Ayu 22:3)

Yehova anawalinda waadilifu (Ayu 36:7)