Aprili 18- 24
AYUBU 28-32
Wimbo 17 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu”: (Dak. 10)
Ayu 31:1—Ayubu alifanya “agano” pamoja na macho yake (w15 6/15 16 ¶13; w15 1/15 25 ¶10)
Ayu 31:13-15—Ayubu alikuwa mnyenyekevu, mwenye haki, na aliwajali wengine (w10 11/15 30 ¶8-9)
Ayu 31:16-25—Ayubu alikuwa mkarimu kwa wale waliokuwa na uhitaji (w10 11/15 30 ¶10-11)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ayu 32:2—Ni kwa njia gani Ayubu “aliitangaza nafsi yake mwenyewe kuwa adilifu badala ya Mungu”?(w15 7/1 12 ¶2; it-1 606 ¶5)
Ayu 32:8, 9—Kwa nini Elihu alihisi kwamba anaweza kuongea ingawa alikuwa na umri mdogo kuliko wasikilizaji wake? (w06 3/15 16 ¶1; it-2 549 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: Ayubu 30:24–31:14 (Isizidi dak. 4)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: g16.2 12-13—Weka msingi wa ziara ya kurudia. (Isizidi dak. 2)
Ziara ya Kurudia: g16.2 12-13—Weka msingi wa ziara inayofuata. (Isizidi dak. 4)
Funzo la Biblia: bh 148 ¶8-9 (Isizidi dak. 6)
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 115
Jifunze Kupitia Utimilifu wa Wengine (1Pe 5:9): (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa, Harold King: Alidumisha Uaminifu Akiwa Gerezani. (Tembelea Tovuti ya tv.pr418.com, tafuta kwenye VIDEO ON DEMAND > INTERVIEWS AND EXPERIENCES.) Baada ya hapo, zungumzia maswali yafuatayo: Ndugu King alidumishaje hali yake ya kiroho alipokuwa gerezani? Kuimba nyimbo za Ufalme kunaweza kutusaidiaje kuvumilia hali ngumu maishani? Mfano wa uaminifu wa Ndugu King umekuchocheaje?
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 13 ¶13-25, mambo ya kufikiria kwenye uku. 114 (Dak. 30)
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 81 na Sala