Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 28-32

Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu

Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu

Ayubu aliazimia kufuata viwango vya maadili vya Yehova

31:1

  • Alidhibiti macho yake na kumwonyesha mapenzi mke wake pekee

Ayubu alituwekea kielelezo kizuri cha jinsi ya kushughulika na wengine

31:13-15

  • Alikuwa mnyenyekevu, mwenye haki, na mwenye rehema. Aliwajali watu wote licha ya hali yao katika jamii au hali yao ya uchumi

Ayubu alikuwa mkarimu, hakuwa na ubinafsi

31:16-19

  • Alikuwa tayari kuwasaidia wenye uhitaji