HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 28-32
Ayubu Alituwekea Kielelezo Kizuri cha Utimilifu
Ayubu aliazimia kufuata viwango vya maadili vya Yehova
Alidhibiti macho yake na kumwonyesha mapenzi mke wake pekee
Ayubu alituwekea kielelezo kizuri cha jinsi ya kushughulika na wengine
Alikuwa mnyenyekevu, mwenye haki, na mwenye rehema. Aliwajali watu wote licha ya hali yao katika jamii au hali yao ya uchumi
Ayubu alikuwa mkarimu, hakuwa na ubinafsi
Alikuwa tayari kuwasaidia wenye uhitaji