Aprili 4- 10
AYUBU 16-20
Wimbo 79 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili”: (Dak. 10)
Ayu 16:4, 5—Maneno ya mshauri yanapaswa kuwaimarisha wengine (w90 3/15 27 ¶1-2)
Ayu 19:2—Maneno yasiyo ya fadhili ya Bildadi yalimfanya Ayubu alie kwa dhiki (w06 3/15 15 ¶6; w94 10/1 32)
Ayu 19:25—Tumaini la ufufuo lilimwimarisha Ayubu alipovunjika moyo sana (w06 3/15 15 ¶5; it-2 735 ¶2-3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Ayu 19:20—Ayubu alimaanisha nini aliposema, “ninaponyoka na ngozi ya meno yangu”? (w06 3/15 15 ¶1;it-2 977 ¶1)
Ayu 19:26—Ayubu angewezaje ‘kumwona Mungu’ kwa kuwa hakuna mwanadamu anayeweza kumwona Yehova? (w94 11/15 19 ¶17)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?
Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?
Usomaji wa Biblia: Ayu 19:1-23 (Isizidi dak. 4)
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video za mapendekezo kwa ajili ya utumishi, halafu uzungumzie mambo makuu. Watie moyo wahubiri waandike utangulizi wao. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
Wimbo 42
“Njia Mpya ya Kuanzisha Mazungumzo”: (Dak. 10) Mazungumzo. Watie moyo wahubiri watumie mfululizo wenye kichwa, “Biblia Inasema Nini?” ili kuanzisha funzo la Biblia.
Maswali Kutoka kwa Wasomaji: (Dak. 5) Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Februari 15, 2015, ukurasa wa 30, fungu la 4-6.
Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 12 ¶13-25, mambo ya kufikiria kwenye uku. 107 (Dak. 30)
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 65 na Sala