Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Aprili 4-10

AYUBU 16-20

Aprili 4-10
  • Wimbo 79 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili”: (Dak. 10)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Ayu 19:20—Ayubu alimaanisha nini aliposema, “ninaponyoka na ngozi ya meno yangu”? (w06 3/15 15 ¶1;it-2 977 ¶1)

    • Ayu 19:26—Ayubu angewezaje ‘kumwona Mungu’ kwa kuwa hakuna mwanadamu anayeweza kumwona Yehova? (w94 11/15 19 ¶17)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni mambo gani katika usomaji wa Biblia wa juma hili ninayoweza kutumia katika huduma ya shambani?

  • Usomaji wa Biblia: Ayu 19:1-23 (Isizidi dak. 4)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video za mapendekezo kwa ajili ya utumishi, halafu uzungumzie mambo makuu. Watie moyo wahubiri waandike utangulizi wao. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 42

  • Njia Mpya ya Kuanzisha Mazungumzo”: (Dak. 10) Mazungumzo. Watie moyo wahubiri watumie mfululizo wenye kichwa, “Biblia Inasema Nini?” ili kuanzisha funzo la Biblia.

  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji: (Dak. 5) Hotuba itolewe na mzee ikitegemea gazeti la Mnara wa Mlinzi la Februari 15, 2015, ukurasa wa 30, fungu la 4-6.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 12 ¶13-25, mambo ya kufikiria kwenye uku. 107 (Dak. 30)

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza, na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 65 na Sala