Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | AYUBU 16-20

Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili

Watie Moyo na Kuwaimarisha Wengine kwa Maneno Yenye Fadhili

Maneno ya mshauri yanapaswa kuwaimarisha wengine

16:4, 5

  • Ayubu alishuka moyo na kuteseka sana, hivyo, alihitaji msaada na kutiwa moyo

  • Wafariji watatu wa Ayubu hawakumfariji. Badala yake, walimshutumu na kumwongezea mahangaiko

Maneno yasiyo ya fadhili ya Bildadi yalimfanya Ayubu alie kwa dhiki

19:2, 25

  • Ayubu alimlilia Mungu ili apate kitulizo, hata kama kingehusisha kifo

  • Ayubu alikazia fikira tumaini la ufufuo na akaendelea kuwa mwaminifu