Dada akikaribishwa kwenye Jumba la Ufalme

DAFTARI LA MKUTANO WA HUDUMA NA MAISHA Aprili 2017

Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi

Mapendekezo kwa ajili ya utumishi ya gazeti la Amkeni! na ya kufundisha kweli kuhusu Ufalme wa Mungu. Tumia mapendekezo yaliyoonyeshwa kutayarisha utangulizi wako.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mruhusu Yehova Afinyange Matendo na Kufikiri Kwako

Mfinyanzi mkuu anafinyanga sifa zetu za kiroho, lakini tunahitaji kufanya sehemu yetu.

MAISHA YA MKRISTO

Wakaribishe kwa Uchangamfu

Kila mtu anayehudhuria mikutano yetu anapaswa kujionea upendo wetu wa Kikristo. Unawezaje kuchangia hali ya upendo na uchangamfu katika Jumba la Ufalme?

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Je, Una “Moyo wa Kumjua” Yehova?

Katika Yeremia sura ya 24, Yehova Mungu aliwalinganisha watu na tini. Ni nani waliokuwa kama tini nzuri na tunaweza kuwaigaje leo?

MAISHA YA MKRISTO

Unaweza Kumtia Moyo Mkristo Asiyetenda

Wasiotenda wana thamani machoni pa Yehova Mungu. Tunaweza kuwasaidiaje warudi kutanikoni?

HAZINA NA NENO LA MUNGU

Uwe Jasiri Kama Yeremia

Yeremia alitoa unabii kwamba Yerusalemu lingeharibiwa. Aliwezaje kudumisha ujasiri wake?

MAISHA YA MKRISTO

Nyimbo za Ufalme Zinatutia Moyo Tuwe na Ujasiri

Kuimba nyimbo za Ufalme kuliwaimarisha Wakristo waliokuwa katika kambi ya mateso ya Sachsenhausen. Nyimbo hizo zinaweza kututia moyo tunapokabili majaribu.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yehova Alitabiri Kuhusu Agano Jipya

Agano jipya linatofautianaje na agano la Sheria, na ni kwa njia gani faida za agano jipya ni za milele?